Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Nashindwa kabisa kumwambia mwenzi wangu I Luv U au Nakupenda.
Hakika nampenda sana, lakini kinywa changu ni kizito kukiri, hadi niandike sms
Nashindwa kabisa kumwambia mwenzi wangu I Luv U au Nakupenda.
Hakika nampenda sana, lakini kinywa changu ni kizito kukiri, hadi niandike sms
Nashindwa kabisa kumwambia mwenzi wangu I Luv U au Nakupenda.
Hakika nampenda sana, lakini kinywa changu ni kizito kukiri, hadi niandike sms
Kama mpenzi wako huyu ni yule aliyekufanya utoke mkuku kwao, huna haja ya kusema hivyo, kitendo chako cha kujitoa mhanga kuingia kwao bila kukaribishwa, bila kujali mbwa, kuwalaghai night support na kukutwa na wazazi wake inatosha kabisa (by necessary implication) kuonesha mapenzi kwake.
Nashindwa kabisa kumwambia mwenzi wangu I Luv U au Nakupenda.
Hakika nampenda sana, lakini kinywa changu ni kizito kukiri, hadi niandike sms
hata mi nakumbuka alifumaniwa na baba wa msichan wake mwaka mpya,sasa atuambie ni huyo au mwingine???kama ni huo then hwanapendana na kila mmoja alishaonyesha mwenzie kuwa anampenda,maneno yasubiri vitendo vilishatangulia......lol
kama ni mwingine,anza ku-practice,si unajua practice makes perfect?practice mwenyewe kama vile unaenda toa speech then mwambie,usi-reason sana...................:love:
Jaribu haya;Nashindwa kabisa kumwambia mwenzi wangu I Luv U au Nakupenda.
Hakika nampenda sana, lakini kinywa changu ni kizito kukiri, hadi niandike sms
Nashindwa kabisa kumwambia mwenzi wangu I Luv U au Nakupenda.
Hakika nampenda sana, lakini kinywa changu ni kizito kukiri, hadi niandike sms
nashindwa kabisa kumwambia mwenzi wangu i luv u au nakupenda.
Hakika nampenda sana, lakini kinywa changu ni kizito kukiri, hadi niandike sms
basi utakuwa humendi toka moyoni mwako.
Lakini dah hilo neno hata mm nashindwa kweli kulitamka kha!
Nashindwa kabisa kumwambia mwenzi wangu I Luv U au Nakupenda.
Hakika nampenda sana, lakini kinywa changu ni kizito kukiri, hadi niandike sms
Hata mi nakumbuka alifumaniwa na baba wa msichan wake mwaka mpya,sasa atuambie ni huyo au mwingine???kama ni huo then hwanapendana na kila mmoja alishaonyesha mwenzie kuwa anampenda,maneno yasubiri vitendo vilishatangulia......lol
Kama ni mwingine,anza ku-practice,si unajua practice makes perfect?practice mwenyewe kama vile unaenda toa speech then mwambie,usi-reason sana...................:love:
umalaya wenu ndio unasababisha ushindwe kusema Nakupenda