Nashindwa nianzie wapi,naomba msaada wa kisheria tafadhali!

Nashindwa nianzie wapi,naomba msaada wa kisheria tafadhali!

JITABOY

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2013
Posts
254
Reaction score
35
Mimi ni kijana wa mwisho ktkt familia ya watoto 7 wakike wa tatu wa kiume wa 4, wakubwa zangu wote wana miji zao, 2 liobaki wawili tunalingana tofauti ni miezitu.Ukweli mi ninapendwa sana na baba sasa!kuna kiwanja alicho nacho baba nataka nikaombe mkopo bank ilinianze kufanya biashara hicho kiwanja kikobalabalani na hakina nyumba kina ukubwa wa ekari moja maeneo ni kijijini.Msaada wangu jamani naomba munisaidie mawazo nianzie wapi na je kisheria hii ikoje?
 
Mimi ni kijana wa mwisho ktkt familia ya watoto 7 wakike wa tatu wa kiume wa 4, wakubwa zangu wote wana miji zao, 2 liobaki wawili tunalingana tofauti ni miezitu.Ukweli mi ninapendwa sana na baba sasa!kuna kiwanja alicho nacho baba nataka nikaombe mkopo bank ilinianze kufanya biashara hicho kiwanja kikobalabalani na hakina nyumba kina ukubwa wa ekari moja maeneo ni kijijini.Msaada wangu jamani naomba munisaidie mawazo nianzie wapi na je kisheria hii ikoje?

huwez ombea mkopo kiwanja ambacho c mali yako..consert ya baba yako ni muhimu.na benk wanataka hati ila icho kiwanja maana ni mali ya family au maana baba yako kukupenda siyo kwamba ndo na mali ni zako..benk hawatak kiwanja chenye utata..
 
huwez ombea mkopo kiwanja ambacho c mali yako..consert ya baba yako ni muhimu.na benk wanataka hati ila icho kiwanja maana ni mali ya family au maana baba yako kukupenda siyo kwamba ndo na mali ni zako..benk hawatak kiwanja chenye utata..

Vizuri kabisa ndgu! hicho kiwanja hakina utata wowote na hakja wahi kugombaniwa hata ckumoja nashukuru kwa mawazo yako.
 
Back
Top Bottom