Nashinikiza deo kisandu ex wa Malia Obama atafutwe arudi humu jF haraka sana hata ikibidi kwa viboko

Nashinikiza deo kisandu ex wa Malia Obama atafutwe arudi humu jF haraka sana hata ikibidi kwa viboko

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Hii hoja naomba isichanganywe na hoja ingine yoyote na wala haihitaji mjadala mreeeefu wakuu.

Ima faima mkuu kisandu aka Don Nalimison aka ex wa Malia Obama huko aliko atambue anamisiwa huku jF na kuanzia sasa ajihesabu kama mtoro aliyekimbia kituo chake cha kazi au kapteni aliyetelekeza tanga lake kwenye kina kirefu cha maji ya bahari.

Kwa wito huu afanye awezalo arejee haraka na kama atabisha arejeshwe kinguvu hata ikibidi kwa viboko.

Kama hana simu wanaomzunguka wampe simu tumuone humu haraka pasi na kuchelewa au aweke tangazo humu tumchangie apate kiswaswadu kilichochangamka.

Hii nchi imechezewa sana.

FYI:: Kwa memba wapya, Deo kisandu ni mwanajF mwenzetu alikuwa machachari sana kwenye haya mambo ya mitandaoni lakini kwa miaka ya hivi karibuni amekuwa kimya sana ndomaana imelazimika kuweka hili shinikizo hapa ili mwamba arudi kutupa mawili matatu hapa tufurahie busara zake.
 
Hii hoja naomba isichanganywe na hoja ingine yoyote na wala haihitaji mjadala mreeeefu wakuu.

Ima faima mkuu kisandu aka Don Nalimison aka ex wa Malia Obama huko aliko atambue anamisiwa huku jF na kuanzia sasa ajihesabu kama mtoro aliyekimbia kituo chake cha kazi au kapteni aliyetelekeza tanga lake kwenye kina kirefu cha maji ya bahari.

Kwa wito huu afanye awezalo arejee haraka na kama atabisha arejeshwe kinguvu hata ikibidi kwa viboko.

Kama hana simu wanamzunguka wampe simu tumuone humu haraka pasi na kuchelewa au aweke tangazo humu tumchangie apate kiswaswadu kilichochangamka.

Hii nchi imechezewa sana.

FYI:: Kwa memba wapya, Deo kisandu ni mwanajF mwenzetu alikuwa machachari sana kwenye haya mambo ya mitandaoni lakini kwa miaka ya hivi karibuni amekuwa kimya sana ndomaana imelazimika kuweka hili shinikizo hapa ili mwamba arudi kutupa mawili matatu hapa tufurahie busara zake.
Mbona amefariki kitambo na taarifa zake zililetwa humu.
 
Sio kweli, ID yake kuu alibadili jina na kama ingekuwa imethibitika kufariki JF wangeweka RIP kwenye ID yake.

Alibadili ID kwenda Civilian Coin

Otherwise leta uthibitisho wa mazishi yake.
Hata mm nakataa.
Don alikuwa ex wa mtoto wa mheshimiwa rais wa yues/kada kindakindaki/mwanasiasa/mwanamageuzi/media socialite/mume/baba/mwalimu guru/mwanamuziki/mwanamazingaombwe/ulimbo wa warembo
hlf akate moto, jF tusijue? Haiwezekani.
 
Si alishatoka? Na alikuja huku akatupa mikasa yote ya jela na para la jela akatuonesha.
Alitoka akashea picha kakamata bin nyuzi (gitaa) yupo zake studio anarekodi album yake labda kama iwe alikamatwa baada ya kutoa hizo nyimbo zake maana yule mdau naye sio mchache wa matukio 🤣
 
Hii hoja naomba isichanganywe na hoja ingine yoyote na wala haihitaji mjadala mreeeefu wakuu.

Ima faima mkuu kisandu aka Don Nalimison aka ex wa Malia Obama huko aliko atambue anamisiwa huku jF na kuanzia sasa ajihesabu kama mtoro aliyekimbia kituo chake cha kazi au kapteni aliyetelekeza tanga lake kwenye kina kirefu cha maji ya bahari.

Kwa wito huu afanye awezalo arejee haraka na kama atabisha arejeshwe kinguvu hata ikibidi kwa viboko.

Kama hana simu wanaomzunguka wampe simu tumuone humu haraka pasi na kuchelewa au aweke tangazo humu tumchangie apate kiswaswadu kilichochangamka.

Hii nchi imechezewa sana.

FYI:: Kwa memba wapya, Deo kisandu ni mwanajF mwenzetu alikuwa machachari sana kwenye haya mambo ya mitandaoni lakini kwa miaka ya hivi karibuni amekuwa kimya sana ndomaana imelazimika kuweka hili shinikizo hapa ili mwamba arudi kutupa mawili matatu hapa tufurahie busara zake.
Ni vizuri arudi nasi tumfahamu 😜
 
Alitoka akashea picha kakamata bin nyuzi (gitaa) yupo zake studio anarekodi album yake labda kama iwe alikamatwa baada ya kutoa hizo nyimbo zake maana yule mdau naye sio mchache wa matukio 🤣
Ila jamaa ameacha legacy, kuna nyuzi nyingi sana humu za kumtafuta.
 
Deo kwa taarifa nilizopewa na brothers waliosoma nae pamoja na uncle wangu ni alikuwa chizi wa kufungwa kamba kabisa.
 
Deo kwa taarifa nilizopewa na brothers waliosoma nae pamoja na uncle wangu ni alikuwa chizi wa kufungwa kamba kabisa.
Looh hii ni update mpya(kwangu). pole zake sana aisee. muumba wetu ampunguzie adha hiyo na kumjaalia uponaji wa haraka.
 
  • Thanks
Reactions: EEX
Back
Top Bottom