Nashinikiza deo kisandu ex wa Malia Obama atafutwe arudi humu jF haraka sana hata ikibidi kwa viboko

Nashinikiza deo kisandu ex wa Malia Obama atafutwe arudi humu jF haraka sana hata ikibidi kwa viboko

Mwamba mwenyewe , akili kubwa sana hii..
Hata Jiwe anamkumbuka huko aliko...
Alitutoa uwoga wa kumnanga Jiwe humu....

1737407853381.png
 
Hii hoja naomba isichanganywe na hoja ingine yoyote na wala haihitaji mjadala mreeeefu wakuu.

Ima faima mkuu kisandu aka Don Nalimison aka ex wa Malia Obama huko aliko atambue anamisiwa huku jF na kuanzia sasa ajihesabu kama mtoro aliyekimbia kituo chake cha kazi au kapteni aliyetelekeza tanga lake kwenye kina kirefu cha maji ya bahari.

Kwa wito huu afanye awezalo arejee haraka na kama atabisha arejeshwe kinguvu hata ikibidi kwa viboko.

Kama hana simu wanaomzunguka wampe simu tumuone humu haraka pasi na kuchelewa au aweke tangazo humu tumchangie apate kiswaswadu kilichochangamka.

Hii nchi imechezewa sana.

FYI:: Kwa memba wapya, Deo kisandu ni mwanajF mwenzetu alikuwa machachari sana kwenye haya mambo ya mitandaoni lakini kwa miaka ya hivi karibuni amekuwa kimya sana ndomaana imelazimika kuweka hili shinikizo hapa ili mwamba arudi kutupa mawili matatu hapa tufurahie busara zake.
Duh... Days are flying.
 
Mwamba mwenyewe nilimuahidi kupromote ngoma zake ziende viral huku kijijini kumbe niliwasha Moto ,nilitafutwa asubuhi na mapema kabla ya kudamka yaani siku ilikuwa ikakaribia kuanza katika putukashani za maisha basi na mkwe wa Obama alikuwa kwenye list ya watu ninaotakiwa kuwasiliana nao maana sio kwa zile simu zake na biti juu ikiwa nitaghairi kufanya nilichoahidi 😀😀
 
Deo Nalimi Kisandu, labda Dudubaya atakuwa anajua whereabouts za huyu jamaa.....maana wote walikuwa vijana wa Father Pekupeku, Morogoro.
 
Back
Top Bottom