Nashndwa kuelewa hii chemistry ya wanawake.

Just making sure kama still interest ipo au haipo, na hata kama ipo haimaanishi kama anakutaka pia. Its just we love the chase, mbwa si lazima awe anataka kuendesha gari anapolikimbiza.

Anakuwa anataka kuijua harufu yake ili akiliona acbweke, bali alikaribie, alilambe......................then................huu msemo unaweza zua tafsiri 100 hapa
 

Dah..Amina hii point ni nzuri ila sasa sio wote wanakuwa na hizo dalili kwamba mwisho wa siku kinaweza kueleweka...maelezo zaidi nitakuPM.:shock:
 
Dah..Amina hii point ni nzuri ila sasa sio wote wanakuwa na hizo dalili kwamba mwisho wa siku kinaweza kueleweka...maelezo zaidi nitakuPM.:shock:

Tatizo huwa mnakuja na moto mkali halafu mnapoa after a little dissapointment.. Hapo unajikuta mtu unahisi zile zilikua mbwembwe tu nini.. Kumbe kaizer anamaanisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…