Nashukuru jamiiforums.

Nashukuru jamiiforums.

Hili jukwaa ni zuri sana kwa kuwahabarisha watu ila kuna wakati mwingine yanatokea mazuzu fulani hivi ambao hu-distort baadhi ya taarifa

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
karibu jamvini mkuu mpya tafadhali rejea kanuni za jf
 
Katiba mpya itambue JF kama mhimili wa TANO wa Taifa na iingizwe kwenye mtaala kama Mtandao wa Kiada wa kufundishia sekondari!
 
Katiba mpya itambue JF kama mhimili wa TANO wa Taifa na iingizwe kwenye mtaala kama Mtandao wa Kiada wa kufundishia sekondari!

Hahaha! Mkuu naheshimu mawazo yako!
 
Back
Top Bottom