sema iko kichadema zaidi. ukiweka mada ambayo inayoenda kinyume na cdm unapigwa ban au inaondolewa faster kwa mfano leo hapa kulikuwa na thread iliyokuwa inaonyesha kilichonvumisha mwigulu arusha ambayo ilionyesha jinsi cdm wanavyochangisha ela wananchi, huku mboye akiruka na elikopta akitumia zaidi ya 200m
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.