Nashukuru Mungu kunusurika ajali leo

Uhai unathamani sana jameni kuliko kitu chochote, ukiambiwa upewe 20billion ila ikifika asubuhi utakufa hakika utokubali iyo pesa
 
Pole sana. Ingependeza tungejua ilikuwaje.
 
Pole ndugu na ajali,asubuhi ya leo wapo waliokuwa na mzaha wa visungura,japo sikumbuki walikuwa chawa wa wapi,ila ni matumaini yangu kuwa hukuwa umepata kileo chochote.
nashukuru sana ndugu,

mie situmii mkuu
 
pia tunamshukuru sana mama umenusurika, nani kama yeye mitano tena
 
Pole sana.Tungekukosa aisee!Sijui nani tena angekuwa anaweka vingedere kwenye paragraphs zake!
 
Pole sana!

Katie sadaka ya shukrani na Mtumishi aombe nayo Ili ulinzi uimarishwe kwako kuelekea 2025!!

Coz wingu la kuelekea 2025 no jekundu sana na halitabiriki!!

Washindani wako jimboni wanaweza wakawa wameanza kazi!
shukran sana mkuu,

nimeamka salama, na hivi ninatokea huko uliposhauri ibada ya kwanza kabisa,

asanti kwa kunipa moyo
 
pole sana boss Tlaatlaah nakuombea kwa Mungu akurejeshee afya njema ya kimwili na kiakili.

Pia wale wote walioguswa na Ajali hiyo nawaweka mikononi mwa mikono ya Kristo wakawe na amani na afya tele.

Pia naomba usogee inbox nina ombi moja private sana kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…