BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 917
- 2,217
- Thread starter
-
- #21
Hahahahaaa ....!!ndo ukubwa huo ndugu....kkubwa uwe na nauli mfukon..!!Nimepotea wakati narudi.
Gari limekuja tupu la G/Mboto Masaki, nikapanda nikakaa nyuma huku nina earphone kumbe linaenda Mbagala.
Nimekuja kushtuka baadae baada ya kuona njia siielewi.
Man born to die!!
Yes! Ukiamini ivyo ata uoga utakaa mbali na wewe!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri ni mzuri nimeupokea. Ila kukaa mwenyewe siku nzima kila siku nimeshindwa mimi ni mtumishi wa umma kazini natoka saa 10 jioni. Huwa naenda jioni SAA 12 na nakuwepo pia mwenyewe J'pili.Cha kwanza hii biashara ukitaka kufanikiwa...kaa mwenyew...wew nd unayejua uchungu wa hela yako...pia vitu vya kupima ndo vyenye faida km ukivisimamia....wahi kufungua chelewa kufunga ht mpk saa 4 cku...lugha nzuri kwa wateja....kingine mikopo kwa wateja ipungue...!!usikopeshe kila anayekuja kulia shda.....kingine n mahesabu...kuwa n daftari la mahesabu....then mshirikishe Mungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Once Warren Buffet alisema kuna vitu vikuu vitatu kwa majority ya watu ulimwenguni vinavyowarudisha nyuma kibiashara na kiuchumi ambavyo mtu mwenye nia ya kufanikiwa akiviepuka atafika mbali sana.
- Wanawake
- Pombe
- Kamari
Ushauri ni mzuri nimeupokea. Ila kukaa mwenyewe siku nzima kila siku nimeshindwa mimi ni mtumishi wa umma kazini natoka saa 10 jioni. Huwa naenda jioni SAA 12 na nakuwepo pia mwenyewe J'pili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu mimi mwenyew hapa nilipo kuna maduka ma3...!!ila just ubunifu tu ndo umenifiksha hapa nilipo...!!kila mtu ana ridhiki yake...wew ucangalie mtu...ongeza duka....uza vitu kwa bei iliyo pungufu kidogo...lugha nzuri kwa wateja....chukua mapungufu ya hao wenzio na yafanyie kazi...!!Mkuu hongera sana kwa hatua ulkyofanya.
Mimi nina mpango wa kufungua duka la reja reja pia
Na hapa leo ndo nimetoka kutafuta frem, ila kila ninapoenda, nakuta pana maduka mawili au matatu ya aina ninayotaka kufungua.
Em niambie mkuu, biashara itaenda vizuri kwenye competition kubwa kama hiyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu hakuna neno. Nitafanya hivyo... Ngoja nianze.Ndugu mimi mwenyew hapa nilipo kuna maduka ma3...!!ila just ubunifu tu ndo umenifiksha hapa nilipo...!!kila mtu ana ridhiki yake...wew ucangalie mtu...ongeza duka....uza vitu kwa bei iliyo pungufu kidogo...lugha nzuri kwa wateja....chukua mapungufu ya hao wenzio na yafanyie kazi...!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati naanza nilikuwa sina hata sukari....wenzangu walikuw na kila kitu....nilikuwa na vocha tuuu...!!just kila kitu wanaenda maduka mengine....nilivumilia mpk nmejaza kila kituMkuu hongera sana kwa hatua ulkyofanya.
Mimi nina mpango wa kufungua duka la reja reja pia
Na hapa leo ndo nimetoka kutafuta frem, ila kila ninapoenda, nakuta pana maduka mawili au matatu ya aina ninayotaka kufungua.
Em niambie mkuu, biashara itaenda vizuri kwenye competition kubwa kama hiyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli ndugu...!!hii pia nmewah kuifanya....wakat nnauza duka nikawa napiga pia udalali wa vyumba mtandaon....nilipata elfu 80 nikiwa nmekaa tu...!!Nyie fanyeni yooote ila nawaambieni enyi member wa JF hakuna biashara / kazi nzuri huku duniani kama Udalali / Middleman.
Amini nachokuambia. Find a niche and get to work.
Sent from my iPhone using JamiiForums
mkuu naomba niuzie hiyo biashara kama inawezekana 0657623266Hongera sana mjasiriamali mwenzangu. Nimepanda ulivyompiganaji kimaisha.
Mimi mwaka 2017 nianzisha duka la reja reja kwa mtaji wa Tsh 1. 5milioni na Mpesa mtaji wa 1milioni. Ninakosa muda wa kujigawa kukaa mwenyewe nimemuajiri muuzaji, wakati naanza mauzo ya duka kwa siku yalikuwa 35 elfu hadi 40 elfu. Ila sasa mauzo yameshuka hadi elfu 8 kwa siku na duka linapungua bidhaa na fedha sioni.
Baada ya kuona vitu vya kupima kama sukari, unga, maharage, ngano,mchele vinanipa hasara nimeamua kuviacha na sasa nauza vinywaji na Mpesa tu ila bado mauzo hayakidhi yanatosheleza kulipia frame tu na kodi TRA, sioni faida kwangu.
Naomba tupeane mbinu na mikakati ya kuboresha biashara hii maana inaumiza kichwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijihusishi na vyote lakini hali bado jojoOnce Warren Buffet alisema kuna vitu vikuu vitatu kwa majority ya watu ulimwenguni vinavyowarudisha nyuma kibiashara na kiuchumi ambavyo mtu mwenye nia ya kufanikiwa akiviepuka atafika mbali sana.
- Wanawake
- Pombe
- Kamari
Tafuta fremu eneo lenye movement kubwa ya raia, ata maduka yakiwa kumi kama movement ya watu ni kubwa utatoboa tuu muhim ubunifu na lugha nzr kwa wateja, mimi kwenye kaduka kangu rafiki zangu wakubwa ni watoto, wakipita kwa mbali utasikia oyaaaaa niaje mshkaji. Hpo ni dogo wa la pili.Mkuu hongera sana kwa hatua ulkyofanya.
Mimi nina mpango wa kufungua duka la reja reja pia
Na hapa leo ndo nimetoka kutafuta frem, ila kila ninapoenda, nakuta pana maduka mawili au matatu ya aina ninayotaka kufungua.
Em niambie mkuu, biashara itaenda vizuri kwenye competition kubwa kama hiyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu biashara unasimama mwenyewe??Hongera sana mjasiriamali mwenzangu. Nimepanda ulivyompiganaji kimaisha.
Mimi mwaka 2017 nianzisha duka la reja reja kwa mtaji wa Tsh 1. 5milioni na Mpesa mtaji wa 1milioni. Ninakosa muda wa kujigawa kukaa mwenyewe nimemuajiri muuzaji, wakati naanza mauzo ya duka kwa siku yalikuwa 35 elfu hadi 40 elfu. Ila sasa mauzo yameshuka hadi elfu 8 kwa siku na duka linapungua bidhaa na fedha sioni.
Baada ya kuona vitu vya kupima kama sukari, unga, maharage, ngano,mchele vinanipa hasara nimeamua kuviacha na sasa nauza vinywaji na Mpesa tu ila bado mauzo hayakidhi yanatosheleza kulipia frame tu na kodi TRA, sioni faida kwangu.
Naomba tupeane mbinu na mikakati ya kuboresha biashara hii maana inaumiza kichwa.
Sent using Jamii Forums mobile app