BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 917
- 2,217
Chuo nilimaliza mwaka 2017 pale ruaha Catholic
Kulikuwa na duka home kutokana na uongozi mbaya likafilisika wakalifunga....nilikuwa na laki 5 tu nilipoamua kulifungua upya(nnadhan mnajua kuwa laki 5 ilivyo ngum kuinua duka la reja reja)
Nilikuwa na girlfriend aliniacha baada ya kukosa ajira plus kutokuwa na muelekeo mzuri kimaisha(hili nalo lilinipa hasira vile vile)
Ndipo nilipoamua kujiweka imara zaidi kwenye biashara
Niliingia mtandaon nkasearch kuhusu huduma znazotolewa na maximalipo na selcom(kwa njia ya simu lkn maana sikuwa na mtaji wa mashine)
Nkachagua selcom kwa kuangalia hudum zao plus faida katika vocha....luku na huduma zngne
Sikuishia hapo nkajiunga mobistock(hawa wanahusika na kurusha vocha mitandao yote....hii niliichagua kwa ajili ya huduma za kutolea hela(hii ni njia niliyobuni mwenyew....sikuwa na hela ya kulipia till)...mobistock niliitumia kama till ya tigopesa wakat selcom niliitumia kama till ya mpesa na airtel money
Mwishowe nikajiunga na tigorusha....hawa wana faida nzuri mno kila ununuapo kwa epin pesa
Nikajikaza mno kukuza mtaji wa duka....nilipambana kiasi kwamba mpka faida niliiweka dukan....hakukua na hela yangu bali zot zilikuwa ni za duka....!!
Kadria hela zilipozidi kuongezeka ndipo nilipozidi kuongeza akili ya kuongeza huduma
Nikaongeza huduma za ufundi simu...kusajili laini na kuchajisha simu
Nilipambana juu chini huku nikiweka pemben anasa na mapenzi....!!
Ili kukuza mtaji nkajiunga tala na branch ambao mpk sasa tumeshafika kwenye laki na nusu....hawa nnawawekea akiba kila siku kwa ajili ya kulipia mkopo...!!
Pia nnacheza mchezo wa kuchangishana ambao nnapokea 270k
Yote hayo ni kwa ajili ya maisha na malengo yangu...!!staki kuckia kuhusu mahusiano...!!maana nnajua akili yangu na biashara hii ukiendekeza wanawake....vyote utafeli
Tuombe uzima ndugu zangu...mwezi huu nmeamua kupanga chumba...kila kitu kipo tyr
Maisha yanawezekana kama ukijua ulipotoka....ulipo na unakoenda....madhaifu yako...kipaji chako lakini hasa watu ulonao katka maisha yako
Kwa sasa sijutii kufanya biashara maana nnaona huku ndo nilikotakiw kuwepo ili nifanikiwe
*Pichaza chini kabisa ni kipindi duka linaanza*View attachment 987966View attachment 987968View attachment 987969View attachment 987967
Sent using Jamii Forums mobile app
Kulikuwa na duka home kutokana na uongozi mbaya likafilisika wakalifunga....nilikuwa na laki 5 tu nilipoamua kulifungua upya(nnadhan mnajua kuwa laki 5 ilivyo ngum kuinua duka la reja reja)
Nilikuwa na girlfriend aliniacha baada ya kukosa ajira plus kutokuwa na muelekeo mzuri kimaisha(hili nalo lilinipa hasira vile vile)
Ndipo nilipoamua kujiweka imara zaidi kwenye biashara
Niliingia mtandaon nkasearch kuhusu huduma znazotolewa na maximalipo na selcom(kwa njia ya simu lkn maana sikuwa na mtaji wa mashine)
Nkachagua selcom kwa kuangalia hudum zao plus faida katika vocha....luku na huduma zngne
Sikuishia hapo nkajiunga mobistock(hawa wanahusika na kurusha vocha mitandao yote....hii niliichagua kwa ajili ya huduma za kutolea hela(hii ni njia niliyobuni mwenyew....sikuwa na hela ya kulipia till)...mobistock niliitumia kama till ya tigopesa wakat selcom niliitumia kama till ya mpesa na airtel money
Mwishowe nikajiunga na tigorusha....hawa wana faida nzuri mno kila ununuapo kwa epin pesa
Nikajikaza mno kukuza mtaji wa duka....nilipambana kiasi kwamba mpka faida niliiweka dukan....hakukua na hela yangu bali zot zilikuwa ni za duka....!!
Kadria hela zilipozidi kuongezeka ndipo nilipozidi kuongeza akili ya kuongeza huduma
Nikaongeza huduma za ufundi simu...kusajili laini na kuchajisha simu
Nilipambana juu chini huku nikiweka pemben anasa na mapenzi....!!
Ili kukuza mtaji nkajiunga tala na branch ambao mpk sasa tumeshafika kwenye laki na nusu....hawa nnawawekea akiba kila siku kwa ajili ya kulipia mkopo...!!
Pia nnacheza mchezo wa kuchangishana ambao nnapokea 270k
Yote hayo ni kwa ajili ya maisha na malengo yangu...!!staki kuckia kuhusu mahusiano...!!maana nnajua akili yangu na biashara hii ukiendekeza wanawake....vyote utafeli
Tuombe uzima ndugu zangu...mwezi huu nmeamua kupanga chumba...kila kitu kipo tyr
Maisha yanawezekana kama ukijua ulipotoka....ulipo na unakoenda....madhaifu yako...kipaji chako lakini hasa watu ulonao katka maisha yako
Kwa sasa sijutii kufanya biashara maana nnaona huku ndo nilikotakiw kuwepo ili nifanikiwe
*Pichaza chini kabisa ni kipindi duka linaanza*View attachment 987966View attachment 987968View attachment 987969View attachment 987967
Sent using Jamii Forums mobile app