The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Watanijulisha halafu nitakwambia lol!!kwa kweli ...safi sana.
kila lakheri kwa safari yenu mpya.....
kikitokea kitu chochote tunamba utujulishe ........ (kama ukipenda)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanijulisha halafu nitakwambia lol!!kwa kweli ...safi sana.
kila lakheri kwa safari yenu mpya.....
kikitokea kitu chochote tunamba utujulishe ........ (kama ukipenda)
Huko kote?Mbona mbali sana...hakufikiki kwa miguu na nauli ya bus sina!we nihonge za hapahapa!Mh! Lizzy vibaya hivyo unavonfanyia mtoto wa mwenzio mm!
Thanking u nJF really it cant sound kumoyo coz nijuavyo mie thanks nzuri ni zile ntakazo kudedcate pale unaponifkisha yaani @ the time when you will be imagining dat u're really touching da sky c unajua anga za malove ukfka hutaki shuka huko.
Njoo mommmy tule bata!!
Mie hili neno kuchakachua linanipa raha kila napolisoma au kulisikia!kila la kheri wajameni.....!
nawatakieni UCHAKACHUAJI MWEMA
Two loosers.....hongereni sana
ndugu wana jf
wengi nadhani mliliona tangazo hili
"natafuta mpenzi wa kike kwa ajili ya mahusioano ya kudumu,
mimi ni mwanaume single na ninaumri wa miaka 25, ningependa awe na umri wa kuanzia miaka 32-45
awe anaishi dar es salaam"
baada kusota benchi kwa miezi 8 bila timu wala kuchakachua, nakuamua kutafuta mpezi kwenye forums hii napenda kuwajulisha kuwa nimempata kupitia hapa hapa, bahati nzuri pia alikuwa rafiki ya girlfriend wangu tulieachana, na ameniahidi kuwa atanipa mapenzi motomoto,
hasa ukizingatia alikuwa nae alikuwa broken heart like me.
i.e. Society of broken hearts(sob)
idumu jf
with thanks
wenu
bangu
Watanijulisha halafu nitakwambia lol!!