Nashukuru ninachokipata na ninachopewa

Familia kama familia; paradiso ndogo, sehemu ya amani na makubaliano na waswahili walisema mchuma janga hula na wa kwao. Kwa vyovyote iwavyo mta'solve' na kusonga mbele kama familia ikiwa mmoja wenu amepotoka.

πŸ‘†πŸ‘†Nina experience na hilo

Lakini kinyume chake ni sehemu hatari sana ikiwa viongozi wa hio taasisi hawachukuliani mizigo. Namwona mhanga mkubwa ni mwanaume, hatusikii mwanaume kuonewa ndani ya familia lakini mwanamke anaon............
 
Familia inatia Nguvu kwenye utafutaji
 
Maisha ya zamani matamu sana ,familia ni muhimu ila kwa Sasa naona huruma unakuta mzazi mmoja Yuko mkoa mwingine na mwingine sehemu nyingine kisa kazi.

Familia Zinaleta furaha hata kama ni masikini.
 
Salute kwa mabro wanaokusapoti kiuchumi sio , Basi sawa
Sometimes inakuwa hivyo brother.Nipo Dar es salaam.Bado nausoma mji.

Mji huu unataka akili nyingi na sio Nguvu.Mana watu hawalali na watu hawaliziki na walichonacho hasa Kwa Sisi wageni.Lazima tufanye kila njia ili mkono uende kinywani pasipo kuvunja sheria za NCHI YETU TANZANIA πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
 
Maisha ya zamani matamu sana ,familia ni muhimu ila kwa Sasa naona huruma unakuta mzazi mmoja Yuko mkoa mwingine na mwingine sehemu nyingine kisa kazi.

Familia Zinaleta furaha hata kama ni masikini.
Kweli kabisa brother
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…