kibarango
Senior Member
- Sep 6, 2014
- 146
- 309
Juzi Mhe Rais Paul Kagame akiwa ziarani huko Benin ametaja kuwa mgogoro wa DRC na M23 chanzo chake ni wakoloni kumega ardhi ya dola ya kale ya Rwanda na kuzipa nchi jirani.
Bw. Kagame ametaja nchi jirani zilizopewa ardhi Ardhi ya dola ya Rwanda ya kale ni DRC, Uganda na Burundi.
Kati ya nchi zote nne zinazopakana na Rwanda ni Tanzania tuambayo Bw Gen. Kagame hakujaribu kuitaja kua anadai ardhi hapa.
Ijapokua Historia inataja koo za Wanyiginya ambayo asili yao ni Rwanda ya kale zilikua zikimiliki tawala nyingi nchini Tanzania hasa mikoa ya Kanda ya ziwa na Kigoma. Kama ilivyo Burundi, DRC na Uganda.
Nadhani Kagame alielewa vyema somo alilopewa na Tanzania mwaka 2013 hatamani tena kupata somo la pili aina ya remidial.
Haha.
Bw. Kagame ametaja nchi jirani zilizopewa ardhi Ardhi ya dola ya Rwanda ya kale ni DRC, Uganda na Burundi.
Kati ya nchi zote nne zinazopakana na Rwanda ni Tanzania tuambayo Bw Gen. Kagame hakujaribu kuitaja kua anadai ardhi hapa.
Ijapokua Historia inataja koo za Wanyiginya ambayo asili yao ni Rwanda ya kale zilikua zikimiliki tawala nyingi nchini Tanzania hasa mikoa ya Kanda ya ziwa na Kigoma. Kama ilivyo Burundi, DRC na Uganda.
Nadhani Kagame alielewa vyema somo alilopewa na Tanzania mwaka 2013 hatamani tena kupata somo la pili aina ya remidial.
Haha.