Nashukuru Rais Kagame anaigopa Tanzania

Nashukuru Rais Kagame anaigopa Tanzania

kibarango

Senior Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
146
Reaction score
309
Juzi Mhe Rais Paul Kagame akiwa ziarani huko Benin ametaja kuwa mgogoro wa DRC na M23 chanzo chake ni wakoloni kumega ardhi ya dola ya kale ya Rwanda na kuzipa nchi jirani.

Bw. Kagame ametaja nchi jirani zilizopewa ardhi Ardhi ya dola ya Rwanda ya kale ni DRC, Uganda na Burundi.

Kati ya nchi zote nne zinazopakana na Rwanda ni Tanzania tuambayo Bw Gen. Kagame hakujaribu kuitaja kua anadai ardhi hapa.

Ijapokua Historia inataja koo za Wanyiginya ambayo asili yao ni Rwanda ya kale zilikua zikimiliki tawala nyingi nchini Tanzania hasa mikoa ya Kanda ya ziwa na Kigoma. Kama ilivyo Burundi, DRC na Uganda.

Nadhani Kagame alielewa vyema somo alilopewa na Tanzania mwaka 2013 hatamani tena kupata somo la pili aina ya remidial.

Haha.
 
Juzi Mhe Rais Paul Kagame akiwa ziarani huko Benin ametaja kuwa mgogoro wa DRC na M23 chanzo chake ni wakoloni kumega ardhi ya dola ya kale ya Rwanda na kuzipa nchi jirani.

Bw Kagame ametaja nchi jirani zilizopewa ardhi Ardhi ya dola ya Rwanda ya kale ni DRC, Uganda na Burundi.

Kati ya nchi zote nne zinazopakana na Rwanda ni Tanzania tuambayo Bw Gen Kagame hakujaribu kuitaja kua anadai ardhi hapa.

Ijapokua Historia inataja koo za Wanyiginya ambayo asili yao ni Rwanda ya kale zilikua zikimiliki tawala nyingi nchini Tanzania hasa mikoa ya Kanda ya ziwa na Kigoma. Kama ilivyo Burundi, DRC na Uganda.

Nadhani Kagame alielewa vyema somo alilopewa na Tanzania mwaka 2013 hatamani tena kupata somo la pili aina ya remidial.

Haha.
Hii hoja haina mashiko maana tukirudi kabla ya ukoloni na sasa kila nchi ikisema idai ardhi basi migogoro haitakwisha. Ndio maana wamakonde wako tz na mozambique ikiwa ina maana kabla ya mipaka ilikuwa koo moja imesamnaaa
 
Juzi Mhe Rais Paul Kagame akiwa ziarani huko Benin ametaja kuwa mgogoro wa DRC na M23 chanzo chake ni wakoloni kumega ardhi ya dola ya kale ya Rwanda na kuzipa nchi jirani.

Bw. Kagame ametaja nchi jirani zilizopewa ardhi Ardhi ya dola ya Rwanda ya kale ni DRC, Uganda na Burundi.

Kati ya nchi zote nne zinazopakana na Rwanda ni Tanzania tuambayo Bw Gen. Kagame hakujaribu kuitaja kua anadai ardhi hapa.

Ijapokua Historia inataja koo za Wanyiginya ambayo asili yao ni Rwanda ya kale zilikua zikimiliki tawala nyingi nchini Tanzania hasa mikoa ya Kanda ya ziwa na Kigoma. Kama ilivyo Burundi, DRC na Uganda.

Nadhani Kagame alielewa vyema somo alilopewa na Tanzania mwaka 2013 hatamani tena kupata somo la pili aina ya remidial.

Haha.
watu mna maneno...hawezi akayasema vibaya makimbilio yake ya usalama, maana anajua kikinuka kwake watu wake na hata yeye mwenyewe mahali wanakoweza kuishi kwa usalama na amani ni Tanzania tu.
 
Vp na kiongozi moja huku Tanzania akiyadai maneo ya Kenya kwa vile wamasai, wakurya na wajaluo ni wetu? Pia tudai maeneo yetu yaliokaliwa na wamanyema wetu mashariki mwa Congo.

Pia maeneo yetu yaliokaliwa na wamakonde wetu Msumbiji na wanyasa wetu Malawi na wanyamwanga wetu Zambia.

Kagame ni mpuuzi na Mshenzi na inaonekana ni dhahiri anafadhili vita vya Congo. Mwisho wake upo karibuni kuja na utakuwa mbaya Sana.
 
Sijaona kuhusika kwa Tanzania kwa sababu kama si Ujerumani kushindwa vita kuu ya 2,Rwanda na Burundi zingekuwa sehemu ya Tanzania! Lakini tangu mkoloni nchi hizo zilipewa uhuru kamili.
Kwa hiyo kudai Tanzania ina ardhi ya Rwanda iliyomega sidhani!
Juzi Mhe Rais Paul Kagame akiwa ziarani huko Benin ametaja kuwa mgogoro wa DRC na M23 chanzo chake ni wakoloni kumega ardhi ya dola ya kale ya Rwanda na kuzipa nchi jirani.

Bw. Kagame ametaja nchi jirani zilizopewa ardhi Ardhi ya dola ya Rwanda ya kale ni DRC, Uganda na Burundi.

Kati ya nchi zote nne zinazopakana na Rwanda ni Tanzania tuambayo Bw Gen. Kagame hakujaribu kuitaja kua anadai ardhi hapa.

Ijapokua Historia inataja koo za Wanyiginya ambayo asili yao ni Rwanda ya kale zilikua zikimiliki tawala nyingi nchini Tanzania hasa mikoa ya Kanda ya ziwa na Kigoma. Kama ilivyo Burundi, DRC na Uganda.

Nadhani Kagame alielewa vyema somo alilopewa na Tanzania mwaka 2013 hatamani tena kupata somo la pili aina ya remidial.

Haha.
 
Kagame ni akili kubwa lazima aimege drc na Burundi
 
Juzi Mhe Rais Paul Kagame akiwa ziarani huko Benin ametaja kuwa mgogoro wa DRC na M23 chanzo chake ni wakoloni kumega ardhi ya dola ya kale ya Rwanda na kuzipa nchi jirani.

Bw. Kagame ametaja nchi jirani zilizopewa ardhi Ardhi ya dola ya Rwanda ya kale ni DRC, Uganda na Burundi.

Kati ya nchi zote nne zinazopakana na Rwanda ni Tanzania tuambayo Bw Gen. Kagame hakujaribu kuitaja kua anadai ardhi hapa.

Ijapokua Historia inataja koo za Wanyiginya ambayo asili yao ni Rwanda ya kale zilikua zikimiliki tawala nyingi nchini Tanzania hasa mikoa ya Kanda ya ziwa na Kigoma. Kama ilivyo Burundi, DRC na Uganda.

Nadhani Kagame alielewa vyema somo alilopewa na Tanzania mwaka 2013 hatamani tena kupata somo la pili aina ya remidial.

Haha.
ni mtu anayetakiwa kuwekwa mbali kabisa na utawala huu. ajabu yake utawala uliopita alipopata tu madaraka safari ya kwanza ikawa kwa kagame, ndio maana alisingiziwa kuwa hadi walinzi alilindwa na wanyarwanda...kwasababu alijisogeza mno. heshima ya Tanzania ilishuka sana kwa Rwanda. msimamo aliokuwa nao Kikwete ndio msimamo halisi unaotakiwa, na mtu yeyote anayeleta mambo mengine tuamini kuwa sio mtanzania.
 
Waswahili tunasema jambo usilolijua ni kama usiku wa giza, yaani P.Kagame aigope Tanzania wakati ni mali yake?
 
Back
Top Bottom