Nashukuru Rais Kagame anaigopa Tanzania

Nashukuru Rais Kagame anaigopa Tanzania

Kagame ameongea vizuri sana, Hata Nyerere amewahi kulizungumza hili vizuri sana jinsi Wabelgiji na Wajerumani walivyogawana utawala wa Ufalme wa kale wa Rwanda. Sehemu moja ikabaki Kongo, hiyo ndo inayokaliwa na Wanyamulenge, na sehemu nyingine ikabaki Rwanda. Nyerere akasema kuwa ni makosa makubwa kwa nchi za Kiafrika za leo zilizorithi ardhi husika kutaka hizo ardhi lakini watu waliokuwemo katika ardhi hizo haziwataki. Yaani haiwezekani nchi ya Kongo ya leo kuitaka ardhi ambayo wanyamulenge wanaishi lakini haiwataki wanyamulenge.
Sawa kabisa Kinshasa hawezi kusema haiwatambui wanyamulenge kama raia wa Congo huku ikiitambua ardhi waliyo ikalia kwa zaidi ya miongo mitano kuwa ardhi ya Congo,, wawafukuze na ardhi yao ,wao wataona pa kwenda either kuanzisha taifa lao huru au kujiunga na Rwanda au Uganda.!
 
Juzi Mhe Rais Paul Kagame akiwa ziarani huko Benin ametaja kuwa mgogoro wa DRC na M23 chanzo chake ni wakoloni kumega ardhi ya dola ya kale ya Rwanda na kuzipa nchi jirani.

Bw. Kagame ametaja nchi jirani zilizopewa ardhi Ardhi ya dola ya Rwanda ya kale ni DRC, Uganda na Burundi.

Kati ya nchi zote nne zinazopakana na Rwanda ni Tanzania tuambayo Bw Gen. Kagame hakujaribu kuitaja kua anadai ardhi hapa.

Ijapokua Historia inataja koo za Wanyiginya ambayo asili yao ni Rwanda ya kale zilikua zikimiliki tawala nyingi nchini Tanzania hasa mikoa ya Kanda ya ziwa na Kigoma. Kama ilivyo Burundi, DRC na Uganda.

Nadhani Kagame alielewa vyema somo alilopewa na Tanzania mwaka 2013 hatamani tena kupata somo la pili aina ya remidial.

Haha.
Hajielewi isee nasi zanzibar nayo ikadai mombasa na mafia maana huko kote palikuwa ni mali ya zanzibar..

Na kenya ije ichukue kilimanjaro maana ilikuwa side ya kenya..
 
Waswahili tunasema jambo usilolijua ni kama usiku wa giza, yaani P.Kagame aigope Tanzania wakati ni mali yake?
unavutaga bangi kutwa mara tatu nakushauri punguza japo kutwa mara moja......alafu usivutie chooni....
 
Juzi Mhe Rais Paul Kagame akiwa ziarani huko Benin ametaja kuwa mgogoro wa DRC na M23 chanzo chake ni wakoloni kumega ardhi ya dola ya kale ya Rwanda na kuzipa nchi jirani.

Bw. Kagame ametaja nchi jirani zilizopewa ardhi Ardhi ya dola ya Rwanda ya kale ni DRC, Uganda na Burundi.

Kati ya nchi zote nne zinazopakana na Rwanda ni Tanzania tuambayo Bw Gen. Kagame hakujaribu kuitaja kua anadai ardhi hapa.

Ijapokua Historia inataja koo za Wanyiginya ambayo asili yao ni Rwanda ya kale zilikua zikimiliki tawala nyingi nchini Tanzania hasa mikoa ya Kanda ya ziwa na Kigoma. Kama ilivyo Burundi, DRC na Uganda.

Nadhani Kagame alielewa vyema somo alilopewa na Tanzania mwaka 2013 hatamani tena kupata somo la pili aina ya remidial.

Haha.
Mkuu Kagame haiogopi Tanznaia anaiheshimu tu, Ruwana wana uwezo ata kusimama na baadhi ya nchi za ulaya kivita sio tu huko Tz mbako kila siku tunakuoneni kwenye sherehe mnapinda nondo na kuvunja tufali kwa ngumi, ruwanda ana technologia zaidi kuliko huko tanganyika
 
Mkuu Kagame haiogopi Tanznaia anaiheshimu tu, Ruwana wana uwezo ata kusimama na baadhi ya nchi za ulaya kivita sio tu huko Tz mbako kila siku tunakuoneni kwenye sherehe mnapinda nondo na kuvunja tufali kwa ngumi, ruwanda ana technologia zaidi kuliko huko tanganyika
We kweli mbumbumbu hivi unazan aman ya Tanzania inakuja kwa bahati mbaya eeh , kwa mali iliokua nayo Tanzania halafu unaona magaidi wanazunguka tu kwenye nchi za pembeni unazan hawataman Tanzania ? Kaa ukijua hakuna aman inayokuja kwa bahati na sabu ukiona nchi imetulie basi ujue katika upelelezi na nidhamu jeshini ipo juu wewe umedumaa akili na teknolojia tu hata ukiwa na vifaa vya kisasa kama mbinu dhaifu na hakuna nidhamu hivyo vifaa vitakuwa mzigo tu.
 
Back
Top Bottom