batmanwafez
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 882
- 1,346
Mkuu unajua maana ya hilo jina lako...naomba ufatilie plz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unajua maana ya hilo jina lako...naomba ufatilie plz
Mwambio aote alivyoota lakin asiote anawambia masela nisubirin nikojoe kwanza 😀😬Nilijua ndoto yako iliisha kumbe bado unaendelea kuota?
Una ndoto tamu sana aisee,ukimka nitakusimulia Kiduku Lilo
Shhhhh!! Usimuamshe mwache aendelee.Nilijua ndoto yako iliisha kumbe bado unaendelea kuota?
Una ndoto tamu sana aisee,ukimka nitakusimulia Kiduku Lilo
Hapa tu Mimi ngachokaWengi walishangaa mzee alipoamua kuwafanyia tour wakaliona lile jumba analoishi kupitia skype. Jamaa walidhani ni Ikulu nilipata shida sana kuwahikikishia kuwa siyo ikulu ni mansion tu ya mzee.