Nasikia eti...supesho slidi

Nasikia eti...supesho slidi

Socw

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2016
Posts
1,329
Reaction score
2,644
Nasikia eti ugali wa dar ni mlaini kiasi kwamba ukitumbukiza sarafu ya shilingi hamsini, inazama...
 
Ndo upi huo, mbona ugali wa hapa home sarafu inabounce afu sio mweupe sijui ni unga gani huu!
 
Naskia eti wanaume wa dar ni wazee wa mishemishe hawajalishi kuwa ugali ni mlaini au laa
 
Back
Top Bottom