Nasikia ile project ya Clouds Media imebuma; pole sana Ruge

Ruge kwenye hii tasnia ni very genius br we tuliaa tuliii
Genius siku za Nyuma labda technology ishampiga gap ana baki kutoa ushauri tuanze kutumia technology zetu Sio za wazungu wasanii wa ngapi walikuwa na wapo chini ya Ruge wana mafanikio gani
 
Mtoa uzi umejitahidi kutetea upande unaoupenda wewe na kuuamini ni vizuri tu.
Lakini mimi nakushauri muamala wako kwanza kabla hujaendelea kuandika hizo "nasikia eti" zako
Baadae usije kutulilia kuwa ulifanya kazi kubwa ya kuwapromoti wcb lakini wamekunyima malipo yako.
 
Hating is dumb
 
Genius siku za Nyuma labda technology ishampiga gap ana baki kutoa ushauri tuanze kutumia technology zetu Sio za wazungu wasanii wa ngapi walikuwa na wapo chini ya Ruge wana mafanikio gani
Umesema "labda"
 
siyo genius tulikuwa tumelala tu
Hukupaswa kuja hapa na ID fake kumsema Ruge ambaye kila mtu anamjua ni nani. Wewe ungekuja na yale ambayo umefanya baada ya kuamka ili vijana wenzio wakufate wewe. Ruge ni Limited yaani kwa sauti ya Pwaguzi "Hafirisikiii" Instead of coming here crying, just do whatever you know to push yourself up on the stage. Usitafute umaarufu kwa kulet down wenzio.
 
Cc: ruge .nasikia jamaa anacheza forex usikute kaingiza loss hivyo ana hasira
 

Concept ya Huu wimbo haina tofauti na wa Harmonise ft mjomba
Label moja idea moja nyimbo mbili kukosa ubunifu
Unless diamond anashindana na harmo
 
Ruge analipa mishahara,inshort anafanya biashara,wewe unakuja na ushabiki wako wa Wcb..kama youtube wasanii wanafanya poa hakuna haja ya kulalamika sasa..unajua watu sijui wanafikiria kwa kutumia akili gani!!...sio lazima clouds kucheza nyimbo zako kwani ile ni taasisi ya mtu binafsi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…