nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
- Thread starter
-
- #41
Mzee Bakhressa hataki ujinga wa taasisi yake kutumika kwa ajili ya revenge ya mtu binafsi, atumie platform ya gsm na asasKati ya watu wanaoteseka Manara kutoka Simb basi ni huyo jamaa aisee🤣🤣🤣🤣🤣
Mi ananiboa hasa anapoweka neno NASIKIA kwenye kila uzi wakeHuyu jamaa Ana element za like na roho ya kichawi achana nae
pole sana mkuu sasa itakuwaje?Mi ananiboa hasa anapoweka neno NASIKIA kwenye kila uzi wake
Sukule lina watetezi wengi kumbe?Watu wengine nikama mmerithishwa uchawi na bibi zenu.....uko busy kufuatilia maisha ya mtu kuliko unavyopambana na maisha yako binafsi
nipo na boss wa Asas ni tajiri kwelikweli huwa havuagi shati na siyo mbahili 😂😂😂😂😂😈😈😇Ndugu zangu ya kweli haya? Kwamba Azam media wameona ni ujinga kutumia taasisi yao ku facilitate vita binafsi? kama ni kweli basi hongereni sana azam tv
Abakize tu Asas ili akiwa anapost bidhaa zao atumie platform hiyo kutukana bidhaa za MO maana ndiyo style yake utasikia nipo na boss wa Asas ni tajiri kwelikweli huwa havuagi shati na siyo mbahili
We ni mmoja wa wajinga jeifu, Acha kufuatilia maisha ya mtu.....akiatolewa ubalozi azam wewe inakusaidia nn? Acha ujingaSukule lina watetezi wengi kumbe?
Mkuu unaona sukule kuchangia Nugaz kutolewa kazi ni sahihi? dah si poa kabisaWe ni mmoja wa wajinga jeifu, Acha kufuatilia maisha ya mtu.....akiatolewa ubalozi azam wewe inakusaidia nn? Acha ujinga
Mwisho utajinyea mkuu wangupole sana mkuu sasa itakuwaje?
Wivu ni kidonda, ukishiriki ugua poleNdugu zangu ya kweli haya? Kwamba Azam media wameona ni ujinga kutumia taasisi yao ku facilitate vita binafsi? kama ni kweli basi hongereni sana azam tv
Abakize tu Asas ili akiwa anapost bidhaa zao atumie platform hiyo kutukana bidhaa za MO maana ndiyo style yake utasikia nipo na boss wa Asas ni tajiri kwelikweli huwa havuagi shati na siyo mbahili
Sukule kumlilia boss amfukuze nugaz ni sahihi kweliMwisho utajinyea mkuu wangu
Unauhakika gani wa hilo?Mkuu unaona sukule kuchangia Nugaz kutolewa kazi ni sahihi? dah si poa kabisa
uanuliza makofi polisiUnauhakika gani wa hilo?
Acha mambo ya vijiweniuanuliza makofi polisi
🤣🤣🤣Shemeji kwa kaka manara pole jamani mke wa kaka
🤣🤣🤣🤣Kumbe mko hapa kumpambania Moo 🤣 🤣 🤣
Wanasemaga ukiona mtu anakufuatilia jua anakukubali.Watu wengine nikama mmerithishwa uchawi na bibi zenu.....uko busy kufuatilia maisha ya mtu kuliko unavyopambana na maisha yako binafsi
Karibu Shadeeya naona unacheka kicheko cha post ya mwenzako aliyetaka kunitoa kwenye jukumu zito la kitaifa nilolkuwa nalo jana kurekebisha tabia sugu ya LOPOLOPO.
fasten your belts, ngoja nimalizie kula mihogo hapa nishushie na maji ya masafi toka Mohamed enterprises kuna posts nyingine za kutosha zinakuja.Wanasemaga ukiona mtu anakufuatilia jua anakukubali.
Kiufupi huyu jamaa anamkubali sana Manara sema tu mpaka sasa haamini kilichotokea bado na ndio sababu anaweweseko baya. 🤣