Nasikia katimuliwa ubalozi Azam

Nasikia katimuliwa ubalozi Azam

kwa leo tu huu ni uzi wangapi umefungua kuhusu huyo manara?
sijahesabu leo ni TBT nyuzi nilizonazo bado 8...vipi umefanikiwa kujua angalau majina ya vyuo aliposomea advanced diploma ya siasa huko China na degree ya mass comm huko south africa?
hata ukifanikiwa kupata pics za graduation itakuwa poa sana mr mchambuzi
 
Niko na kazi ya ngumu sana ya kujaribu kulirekebisha Lopolopo ku behave kama mtu mwenye akili timamu ingawa ni kazi ngumu sana ,maana kabla hata sindano haijamfikia misukule ishaanza kujaribu kuzuia dozi..soma kwanza waraka mujarabu huu....
Nisome waraka ili iweje, bado mnamkumbuka Manara na Manara kwa Bakheresa haondoki leo wala kesho.

Mtu kama mmeachana naye msimuongelee la sivyo bado mnamkumbuka.
 
Over my dead body, nasisitiza tena acheni kuijadili hiyo dead body
 
Nisome waraka ili iweje, bado mnamkumbuka Manara na Manara kwa Bakheresa haondoki leo wala kesho.

Mtu kama mmeachana naye msimuongelee la sivyo bado mnamkumbuka.
Achana na hao vilaza...bakhresa wanafanya na watu biashara na sio mapenzi kama hawa MAKOLO FC wanavyo force mambo yawe

Kwa Hali waliyonayo sasa ambayo hata Haji hajaanza kazi rasmi ni mbaya sasa sijui itakuwaje huko mbele ya safari...utakufa mijitu mingi sana.
 
Huu sasa ni wivu wa kike!! Target yako ni kufungua threads ngapi dhidi ya Manara kwa wiki?! Now assume ndo kweli ametimuliwa; je wewe kama Mwana-Makorokoro utanufaika na nini? Na kama aliweza kuwakera Yanga wakati sio Balozi wa Azam wala Asas, atashindwa nini kuwakera Makorokoro wakati akiwa sio balozi wa kampuni yoyote ile let alone Azam?
Mtanyooka tu huo wivu uta evolve hadi utakuwa wa kiume JINO KWA JINO
 
Huu sasa ni wivu wa kike!! Target yako ni kufungua threads ngapi dhidi ya Manara kwa wiki?! Now assume ndo kweli ametimuliwa; je wewe kama Mwana-Makorokoro utanufaika na nini? Na kama aliweza kuwakera Yanga wakati sio Balozi wa Azam wala Asas, atashindwa nini kuwakera Makorokoro wakati akiwa sio balozi wa kampuni yoyote ile let alone Azam?
Huyu jamaa Ana element za like na roho ya kichawi achana nae
 
Huu sasa ni wivu wa kike!! Target yako ni kufungua threads ngapi dhidi ya Manara kwa wiki?! Now assume ndo kweli ametimuliwa; je wewe kama Mwana-Makorokoro utanufaika na nini? ...
Kati ya watu wanaoteseka Manara kutoka Simb basi ni huyo jamaa aisee🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom