Nasikia Mkoa wa Pwani unajiandaa kuanza Kutengeneza Simu

Nasikia Mkoa wa Pwani unajiandaa kuanza Kutengeneza Simu

Pwani hii huo ya chalinze. Au
 
Pwani ya upande wa kibaha uelekeo wa chalinze iko vizuri kwenye sector ya viwanda, huwezi jua
Mkoa ambao umetoa Kiongozi wa hovyo hovyo na aliyeiharibu nchi pakubwa inzweza Kweli kuwa na Watu wenye Akili Kubwa ya mpaka Kuthubutu kutengeneza Simu?
 
Kile kiwanda cha kutengeneza viwatilifu vya kuuwa mbu mpk leo kimya kimekufa kibudu, mnaanzisha kingine teena.
 
Mkoa ambao umetoa Kiongozi wa hovyo hovyo na aliyeiharibu nchi pakubwa inzweza Kweli kuwa na Watu wenye Akili Kubwa ya mpaka Kuthubutu kutengeneza Simu?
Tuambie kiongozi yupi aliyeipa tz utajiri kama wa pwani wameiharibu
 
Back
Top Bottom