GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nimecheka mpaka basi Mkuu. Simu za nini....?Labda simu za matope.
Mkoa ambao umetoa Kiongozi wa hovyo hovyo na aliyeiharibu nchi pakubwa inzweza Kweli kuwa na Watu wenye Akili Kubwa ya mpaka Kuthubutu kutengeneza Simu?Pwani ya upande wa kibaha uelekeo wa chalinze iko vizuri kwenye sector ya viwanda, huwezi jua
Eti Yu neva no[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji119]Yu neva no [emoji1787]
Ya anakotokea Kiongozi wenu wa hovyo.Hii Pwani ya Tanganyika au?
Lete Maneno......Pwani hii huo ya chalinze. Au
Aliyekwambia pwani kuna ushirikina ni Nani ?Yaani Mkoa umeshindwa Kumaliza tatizo Kubwa la Umasikini, Ujinga na Maradhi bila kusahau Ushirikina ulioota Mizizi huko leo hii hii hao hao wanataka Kutengeneza Simu.
Wewe RC Ababukary Kunenge bhana...!!
Tuambie kiongozi yupi aliyeipa tz utajiri kama wa pwani wameiharibuMkoa ambao umetoa Kiongozi wa hovyo hovyo na aliyeiharibu nchi pakubwa inzweza Kweli kuwa na Watu wenye Akili Kubwa ya mpaka Kuthubutu kutengeneza Simu?