Tetesi: Nasikia na hawa walikuwa miongoni mwa wale 52, waliokuwa wamwasili Simiyu

wale wenzetu wa rangi ya kaki na madoa doa vip, hv nao huwa hawachangii kweli?
 
Eti Dfp watu mna vituko Sana. kwa safari ya bariadi Kuna possibility ya wengi walirudia njiani kuanzia shy tinde nzega igunga shelui sgd manyoni dodoma.
tena siku hzi naona wanaziwekea DFPF..

ahaha ahahahaaa aha
 
Uchochezi tu huo! Gambo amerudisha posho 1.3m mubashara aka LIVE!!
mkuu nasikia yy alishakula nusu ya posho, alichokifanya kaenda kukopeshwa na uvccm arusha kuogopa fedheha, tetes lakn
 
Reactions: MTK
Kinachouma sana ni PAYE na VAT inavyotumika huku huyo mlipaji akitembea soli ya kiatu imesha kutokana na kushindwa kununua kingine.
 
Kama Watanzania wenzangu mpaka leo mnaishi zama za mwalimu Nyerere, basi tambua mmekwisha. Hakuna anae jitolea hapa Tanzania kwenye nyanja ya uongozi wa siasa, au serikali, watu wanatafuta maslahi. Mwanasiasa yeyete awe anatoka upinzani awe anatoka chama kinachoongoza nchi, wote wapo kutafuta pesa zaidi kuliko mnavyodhani. Kumbe Julius Mtatiro, hakueleweka alipotuambia watanzania nia wenzake, sababu za kukosa ubunge, pia alisema kwake anaamini siasa ni ajira. Kama watu wapo kwa ajili ya kujitolea, basi telekeza shuguri zako nenda kaungane na anaelia huku akitoa machozi ya damu.
 
Nadhani mkuu Wa nchi alitaka kuwaeleza japo kawateua lakini waelewe maamuzi ni yake mkuu wasijisahau... Ni moja ya mitihani ila wameiweza vizuri ni furaha kwa raisi kuwa na vijana hawa...
 
mkuu nasikia yy alishakula nusu ya posho, alichokifanya kaenda kukopeshwa na uvccm arusha kuogopa fedheha, tetes lakn
Afanyeje sasa zaidi ya kutetea kitumbua chake! Serikali ya mwendokasi hii!!
 
Hizi chuki binafsi waziwazi

Nilichogundua mleta mada unachuki zako kwa hawa viongozi vijana waliokabiziwa mikoa inayobeba uchumi wa tz

Kwanini awe makonda na gambo wengine hukuwaona

Acha izo huu ni wivu wakijinga sana
 
Majungu hayo.
 
Utoji wa taarifa za kuvizia vizia sio mzuri, nadhani kama wangeambiwa mapema ( official way) yasingetokea hayo.
 
Sioni kosa lao walikuwa sahihi .pesa ilitolewa waende simiyu nawalikwenda simiyu.kwa nini wairudidhe,ambao walishafika simiyu wangewaacha tu
 
Ndio hayo ya kukurupuka. Serikali yote haiko katika hali ya kufanya wajibu wake kwani haijulikani atazuka na lipi na kuwakwaza watendaji katika wajibu wao. Sema moja, kama hakuna maadhimisho yoyote ijulikane hivyo, nani anahusika na maadhimisho gani ili hata bajeti ya hayo maadhimisho isitengwe na itumike kwa masuala mengine.
 
tetes ni kuwa alishatafuna robo tatu ya posho, na kuirejesha alikopa kwa watu wa GSM, kulinda kibarua na agizo la mkuu

GSM si ndio wale walikuwa HOME SHOPPING CENTRE waliokuwa wabia wa mkweree kwenye kuvusha makontena bila kulipa kodi kwa takribani miaka kumi ya utawala wake? Makonda kumbukeni kuwa ni surrogate wa mkweree JPM anamzuga tu!!!
 
Mambo ya usiku wa manane umeyajuaje kama sio umbea!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…