Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali ni vinaliwa? Swali la nyongeza ni vinalimwa wapi Tanzania? Fursa gani unawezapata toka kwenye vibuyu?Swali ni lipi; 'Vinaliwa' km ilivyo katika title au 'vinalimwa' km ilivyo katika mada yenyewe?!!!!
Ni Aina ama jamii ya maboga hivyo yanaliwaSwali ni vinaliwa? Swali la nyongeza ni vinalimwa wapi Tanzania? Fursa gani unawezapata toka kwenye vibuyu?
Ni maboga hayoNa ni fursa gani zingine za kichumi zinatokana na vibuyu? Wapi Tz vinalimwa sana?
View attachment 2257977View attachment 2257978View attachment 2257980
Mchawi mstaafu, hayo ni Maboga lishe yanaitwa Butternut squash na sio vibuyu. Ni mazuri sana na yana bei kubwa kwani moja huuzwa hadi tshs 2000. Ni fursa nzuri sanaNi maboga hayo
Weee ule kibuyu? Hutakimeza kilivyo kichungu! Uchungu wake hutauweza, utafikri mwarobaini!Ni Aina ama jamii ya maboga hivyo yanaliwa
Squash na vibuyu ni tofauti japo wako jamii moja.Mchawi mstaafu, hayo ni Maboga lishe yanaitwa Butternut squash na sio vibuyu. Ni mazuri sana na yana bei kubwa kwani moja huuzwa hadi tshs 2000. Ni fursa nzuri sana
Kuna vichungi na visivyo.Weee ule kibuyu? Hutakimeza kilivyo kichungu! Uchungu wake hutauweza, utafikri mwarobaini!
Mchawi mstaafu[emoji23]Mchawi mstaafu, hayo ni Maboga lishe yanaitwa Butternut squash na sio vibuyu. Ni mazuri sana na yana bei kubwa kwani moja huuzwa hadi tshs 2000. Ni fursa nzuri sana
Much respect kwako brother. Umenifanya nirudi JF na ID nyingine maana unamwaga point humu.Mchawi mstaafu[emoji23]
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1534]Much respect kwako brother. Umenifanya nirudi JF na ID nyingine maana unamwaga point humu.
Vibuyu kama vibuyu mkuu huwa hatuvili. Hata majani yake huwa hatuchumi kama mboga! Yanayoliwa yapo jamii ya maboga kikwetu huwa tunaita "ndugwa" haya yanapikwa yakiwa machanga unakula na maganda yake. Yakikomaa yanakuwa na radha ya hovyo! Tumeyala sana tulivyokuwa watoto. Chakula asili kabisa, watoto wetu wamekosa vitu vya maana sana!Kuna vichungi na visivyo.