Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Nimepata furaha sana na sasa hivi tunarudi na jamaa zetu tumeshatengeneza miundo mbinu uwanja wa Taifa.
Toka jana tupo ndani ya uwanja na mzee wetu xxxxx xxxx tunafanya mambo. Baada ya hapo tumeangalia kwenye screen. Mambo yapo fresh kabisa. Simba wamefungwa matofali miguuni. Tunawachapa vibaya.
Na FA tunachukua hilo halina ubishi, simba mtawaonea hao hao mabwege kwa yanga sahauni hilo jambo nyau nyie.
Leo mnapigwa mrudi kwenu mkanyee debe. Yanga daima mbele nyuma mwiko.
Toka jana tupo ndani ya uwanja na mzee wetu xxxxx xxxx tunafanya mambo. Baada ya hapo tumeangalia kwenye screen. Mambo yapo fresh kabisa. Simba wamefungwa matofali miguuni. Tunawachapa vibaya.
Na FA tunachukua hilo halina ubishi, simba mtawaonea hao hao mabwege kwa yanga sahauni hilo jambo nyau nyie.
Leo mnapigwa mrudi kwenu mkanyee debe. Yanga daima mbele nyuma mwiko.