Nasikitika mshumaa umepotea

Nasikitika mshumaa umepotea

how came mwanaume unasema eti ''mfalme wangu''.Anyway ni nje ya mada huyu alikiba tatizo maringo mengi na vinyimbo vyake vya kuremba sauti game limebadilika linataka vitu vy akuvibe sasa yeye akomae to kujifanya ndo anaweza huku wengine wanatusua
[/QUOT
Kiba Punguza kuwatesa hawa kunguru UNAWATESA MNO BABA WANAKUFATILIA KUPITA MAELEZO unakula mno bando lao tangu waanze kukulinganisha na MR COPY N PASTE n mwaka wa 7 sijui UNAWATESA na nn wakati wanaamini mvaa vikuku ni bora zaidi yako.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mbona mshumaa imeshika 01 trending zaidi ya wiki mbili sasa, sema jamaa hapendi show off, imeshika nafasi hiyo ila kwenye channel yake isiyopenda mambo ya kujionyesha onyesha!
 
Mshumaa umeungua wote tabora jana, anatengeneza koroboi sasa hivi mishumaa inazingua.😀
 
Na Kiba analalamaga sana kuwa watu wanatoa ngoma bila mpangilio anasahau kila mtu anatetea ugali wake na njia ya kwenda toi isiote nyasi[emoji3]
Nina huzuni wimbo wa mshumaa wa Alikiba haukuweza kutrend youtube uliishia kushika namba mbili tu nyuma ya UNO ya Harmonize badae Baba Lao.
Nilikua nategemea utashika no.1 lakini figisu hazikuisha Baba Lao,Roma akatupa jiwe gizani likawaporomosha UNO hadi baba lao kashik no.2 Maskini nikaona mshumaa huuuoooo unazima...so sad.

Wazee wa kuiba penseli wakaja tena na huku African Boy "Jux" wakimtumia km Mbeleko....SUGUA ikashika usukani....MSHUMAA hadi leo siuoni tena.

Badae Domo kaja kuvuruga hali ya hewa tena kwa kutupinga SOUND nakuanza kutrend tena.
In short miezi mitatu hii iliyopita trending youtube Domo ndo ka kaa kila mwezi...
Sipendi kumwona mfalme wangu anapigwa vumbi Tabora na CNN hawataki kumweka kwenye list
 
Ulichokiona, nimekiona....you have said it all

Atasumbua sana huyu, kagoma kwenda na upepo


Wewe toa nyimbo kumi, yeye anatoa moja anatulia anafunika zako kumi
Jimsi ambavyo Kiba amegoma kwenda na upepo wa wafanya biashara ya Muziki amenifanya nizidi kumheshimu. Kiba angeweza kubadilika na angefanya vizuri sana lakini yeye kaamua kufanya muziki siyo biashara, yaani muziki wake ndiyo umletee biashara no matter what tofauti na walioamua kuingiza biashara kwenye.
Huyo wanaemsifia atapita na upepo kama alivyokuja na upepo lakini Kiba atabaki maana ameamua kutoenda na upepo.
Mfalme huangalia himaya yake
 
Huwa una trend usiku mkuu..mchana huwezi kuuona ukitrend
 
Kwa maneno yako haya,basi mshumaa audio na video zote mbovu
Ku'trend namba1 kwenye youtube haimaanishi ndo ngoma kali,la hasha ila tu ni watu wanai'view sana kwa muda huo..Audio yawezakua mbaya but video ikawa kali ndo ikawafanya maraia kuidekerea zaidi on U tube.
 
Mkuu naona umeanza pigo kama za Diva the Bawse sasa[emoji16][emoji16]
Ulichokiona, nimekiona....you have said it all

Atasumbua sana huyu, kagoma kwenda na upepo


Wewe toa nyimbo kumi, yeye anatoa moja anatulia anafunika zako kumi
 
Back
Top Bottom