Nasikitika nakaribia kumaliza masomo ya juu lakini sioni mwanga wa mafanikio naona kabisa naenda kuteseka

Nasikitika nakaribia kumaliza masomo ya juu lakini sioni mwanga wa mafanikio naona kabisa naenda kuteseka

VANDYBLEAZE

Member
Joined
Dec 28, 2024
Posts
5
Reaction score
10
Habari wana jukwaa mimi ni mgeni humu ila natembelea kila siku na navutiwa na hoja na maoni ya wanajamvi niwe mkweli naipenda JF

Mada hapo juu inasomeka, nipo mwaka wa tatu sasa sikufanikiwa kupata 100% ya mkopo so hata bum nilishindwa kuliweka linisaidie kiwango kikubwa nilimaliza kwenye ada na michango mingine, sasa nakaribia kumaliza lakini sion kama nitatoboa mtaani naona kiza na watu niliomaliza nao kidato cha nne watapata la kusema

All in all nina kipaji(fine arts) kuandika na kuchora mabango kwa rangi

Ila shida capital, Kuzaliwa bongo jiandae na kuteseka.. Nipeni ushauri wanajamvi

VANDY BLEAZE, FROM LINDI TANZANIA
 
Habari wana jukwaa mimi ni mgeni humu ila natembelea kila siku na navutiwa na hoja na maoni ya wanajamvi niwe mkweli naipenda JF

Mada hapo juu inasomeka, nipo mwaka wa tatu sasa sikufanikiwa kupata 100% ya mkopo so hata bum nilishindwa kuliweka linisaidie kiwango kikubwa nilimaliza kwenye ada na michango mingine, sasa nakaribia kumaliza lakini sion kama nitatoboa mtaani naona kiza na watu niliomaliza nao kidato cha nne watapata la kusema

All in all nina kipaji(fine arts) kuandika na kuchora mabango kwa rangi

Ila shida capital, Kuzaliwa bongo jiandae na kuteseka.. Nipeni ushauri wanajamvi

VANDY BLEAZE, FROM LINDI TANZANIA
Uonavyo moyoni mwako ndivyo utakavyokuwa
 
Habari wana jukwaa mimi ni mgeni humu ila natembelea kila siku na navutiwa na hoja na maoni ya wanajamvi niwe mkweli naipenda JF

Mada hapo juu inasomeka, nipo mwaka wa tatu sasa sikufanikiwa kupata 100% ya mkopo so hata bum nilishindwa kuliweka linisaidie kiwango kikubwa nilimaliza kwenye ada na michango mingine, sasa nakaribia kumaliza lakini sion kama nitatoboa mtaani naona kiza na watu niliomaliza nao kidato cha nne watapata la kusema

All in all nina kipaji(fine arts) kuandika na kuchora mabango kwa rangi

Ila shida capital, Kuzaliwa bongo jiandae na kuteseka.. Nipeni ushauri wanajamvi

VANDY BLEAZE, FROM LINDI TANZANIA
Kauli zako inaonesha umejiandaa kushindwa mkuu.

Pambana maisha sio CHUPI.
 
Kuteseka lazima haikwepeki hata sisi tumeteseka afadhali hata sasa hivi Mama anatoa ajira je kipindi cha Magufuli ungefanyaje sasa

Wewe maliza chuo jiandae kupambana na mtaa basi

Kuteseka haikwepeki hata ungekuwa na boom unapoanza biashara au kazi ( ajira) utateseka tu kwani mshahara hata pesa utayoingiza wakati unaanza biashara lazima itakuwa ndogo tu
 
Sanaa ya uchoraji mi naona ni kama ina lipa sana mkuu

Sema kuna comment nimeiona hapo kuu kwamba kwa kauoi zako ni kama umejianda kufeli

Najua upo kwenye miaka 20s bado kama mimi tu

Usijiset mawazo yako kuwaza kitu ambacho bado hujaanza kukifanya
utaumia sana
 
Uandishi wako unaniambia elimu haijakuelimisha..... Unaogopa wenzio wa kidato Cha nne enhh. Maliza masomo kwanza ukija kitaa tutakupa ramani.
 
Unahaha na kitaa akati hata final UE hujafanya? Wee piga kitabu.
Ukija mtaani kila kitu kita jiseti chenyewee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
All in all nina kipaji(fine arts) kuandika na kuchora mabango kwa rangi

Ila shida capital
Mtaji wako ni hicho kipaji chako, ukija mtaani usimdharau yeyote mkuu na anza kujitengenezea jina kwa kufanya kazi hata kwa ujira mdogo. Ni mapema sana kuanza kukata tamaa na mtaani hujaingia.
 
Maneno uumba,kuwa positive na maisha otherwise uwazacho ndicho kinakuwa kwa maisha .Mimi nimekuwa positive kwenye maisha na kujitadhimini mapungufu ,wapi uko vizuri na ujikite sana kwenye unachoweza kufanya vizuri na uone kama fursa ya kukuongezea kipato.Kwa elimu uliyoipata ,naona itamekusaidia kupanua wigo wako wakupambanua mambo .Ningekushauri ukiwa unasoma anza kujitafakari ,what is your passion anza kuona kama unaweza kuifanya ikawa fursa yako .Mfano ,mimi nililelewa kwenye mazingira ya ufugaji na ukulima (Kuku,Ngombe nk).So pamoja na usomi wangu ,nilijifunza kuna fursa nyingi sana kwenye hili na nikaweza kutumia kama sehemu ya kipato na sijawahi kujutia .Imeniwezesha kuwaajiri ndugu zangu wasomi zaidi ya 20 pamoja na wengine kuwa na biashara zao zinazofanana na hizo kwa kuweka nguvu ya pamoja.USHAURI TU
 
Back
Top Bottom