Nasimama (kikubwa) kila wakati...

JituParaTupu

Member
Joined
Nov 20, 2008
Posts
92
Reaction score
9
Wakuu,

Ni kitu ambacho nikiwaeleza wenzangu huwa hawaamini! Ni kwamba ninasimama kikubwa kila wakati hata kama siwazii wala kuwa na mwenza karibu. Yaani wakati nashughulika na mambo mengine kabisa, najikuta nimesimama! Yaani nashindwa hata kujishangaa!
Hivi wadau ninaweza kuwa na tatizo gani?

Nawasilisha kwenu kwa msaada.
 
Vitu kama hivyo mimi ningeomba muwemnatutajia umriwenu ndipo mnaweza kupata ushauri imara.:bored:
 
Msongo wa shughuli zako ndo chanzo cha wewe kusimama kikubwa. Zinakufanya uwe aggressive, even sexually.
 
Hapana! Ninaye girlfriend. Nafanya naye siku nne kwa wiki na ni mara mbili kwa siku...kabla ya kulala na asubuhi kabla ya kwenda kibaruani.
Naona unapata kifungua kinywa na kifunga kinywa! Nakushauri uoe kabisaaa ili uwe unapata kila siku!:yield:
 
Ukiwa unapiga game unamaliza mara ngapi? Na mwenzio anafika mara ngapi?

Note: kama mchezo ni mkifika tu room mnaanza na within 5 minutes 'game over' lazima usimame hata katika daladala!

BTW: una miaka 47 halafu bado unakaa na gf? Kwanini usitafute mke? Huna mpango wa familia?:nono:
 
Hapana! Ninaye girlfriend. Nafanya naye siku nne kwa wiki na ni mara mbili kwa siku...kabla ya kulala na asubuhi kabla ya kwenda kibaruani.

mkuu, marambili kwa siku? hiyo ni addiction. Iliwahi kumtokea kijana mmoja mwenye tabia kama yako, akasimamisha siku tatu non stop, alilazwa for a week oysterbay hospital, akatundikiwa drip kadhaa, no woman was allowed to enter his room, awe dk wa kike, nesi, mama yake hata girfriend wake. Nasikia Kaugonjwa kanaitwa DINDI. Punguza hiyo dozi ya siku nne kwa wiki twice daily, inawezekana mishipa ya mtambo wako ilishapata tatizo.

suprising, 47 yrs still living with girlfriend??!!!! No wonder lazima uugue dindi, how addicted to sex is she?.
Seek medical advice and change hako kamzuka.
 
Hapana! Ninaye girlfriend. Nafanya naye siku nne kwa wiki na ni mara mbili kwa siku...kabla ya kulala na asubuhi kabla ya kwenda kibaruani.

"Kwa Msaada wa Watu wa Marekani funga NDOA kabisa" 2 x 4 kwa wiki :nono:
 
Namaliza X2, naye gf anaendaga X3.
Gemu nzima ni dkk-65, foreplay dkk-10.
Gf sikai nae, used to come...she's free. Had wife,,divorced 1994. Got four children..the last one amemaliza kdt cha 6 mwaka huu. Sihitaji mtoto tena.
 
Namaliza X2, naye gf anaendaga X3.
Gemu nzima ni dkk-65, foreplay dkk-10.
Gf sikai nae, used to come...she's free. Had wife,,divorced 1994. Got four children..the last one amemaliza kdt cha 6 mwaka huu. Sihitaji mtoto tena.

Wewe kweli Shababi. Yaani ulipofikisha umri wa miaka 31 ulikuwa tayari na watoto 4. duu Jitupara hebu gonga tano mkuu.

Nauhakika iko siku waweza kuteuliwa kuwa running mate, wa CCM kwenye presidential position, maana nawe ni SHABABI.
 
Hapana! Ninaye girlfriend. Nafanya naye siku nne kwa wiki na ni mara mbili kwa siku...kabla ya kulala na asubuhi kabla ya kwenda kibaruani.

We mkuuuu una matatizo gani? Yaani una miaka 47 na unatwambia una girl friend!!!! Hii ni hatari sana. Unasubiri nini kuoa. Hilo tatizo ni kwa sababu ya huo girl friend. Ukioa litaisha kabisa.

....Aziniye na mwanamke hana akili kabisa, anafanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake....
 
mtu wa miaka 47 hawezi kuwa na girlfriend. atakuwa na mke au hawara, na watoto na majukumu. mtu wa miaka 47 hawezi kuwa na jina kama hilo JituParaTupu.
 
Afadhali ya hayo kaka kuliko machine kuzimika kabisa....
Kama inakupa shida sana tembea na kipande cha mpira wa baiskeli,, kitu kikianza kurusha mateke unakilaza tumboni na kukifunga mpira kupitia mgogoni,,kwisha habari yake!
kwanini ushindwe na mtoto wako mwenyewe!!
Chonde chonde usitafute madawa ya kupunguza kasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…