JituParaTupu
Member
- Nov 20, 2008
- 92
- 9
Wakuu,
Ni kitu ambacho nikiwaeleza wenzangu huwa hawaamini! Ni kwamba ninasimama kikubwa kila wakati hata kama siwazii wala kuwa na mwenza karibu. Yaani wakati nashughulika na mambo mengine kabisa, najikuta nimesimama! Yaani nashindwa hata kujishangaa!
Hivi wadau ninaweza kuwa na tatizo gani?
Nawasilisha kwenu kwa msaada.
Ni kitu ambacho nikiwaeleza wenzangu huwa hawaamini! Ni kwamba ninasimama kikubwa kila wakati hata kama siwazii wala kuwa na mwenza karibu. Yaani wakati nashughulika na mambo mengine kabisa, najikuta nimesimama! Yaani nashindwa hata kujishangaa!
Hivi wadau ninaweza kuwa na tatizo gani?
Nawasilisha kwenu kwa msaada.