Nasimama na machangudoa, ni wapiga kura, walipa kodi, watoa huduma, wazalendo ni wana CCM

Kwa mujibu ya kitabu Cha biblia ukahaba ulikuwepo hata kipindi Cha musa
 
Naunga mkono hoja, tena wanatuokoa sana tuu, sema basi tuu kwa vile hawa hawana bahati ya kuuza kwa bei ya jumla inayoitwa mahari, na kutoa huduma hiyo kwa mteja mmoja anayeitwa mume, wao wanauza reja reja kwa wateja tofauti tofauti, ila bidhaa inayonunuliwa jumla kwa kulipiwa mahari na mtu kuitwa mke ni bidhaa ile ile inayouzwa reja reja kwa ambao hawajabahatika kupata mteja mmoja wa kununua jumla, na ndio maana nilishauri Opinion: It's high time Tanzania tuhalalishe "The Oldest Profession" na Ikiwezekana tu-legalize Marijuana
P
 
Wasomi wa kizazi cha sasa wasio na ajira ni bomu la siku zijazo sijajua serikali imejipanga vipi na hili kundi lisilo na ajira hapo baadae
 
Tuwapende machangudoa ni binadamu wenzetu, ila ukisinzia anakomba kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…