Nasimama na Rais Magufuli kwenye kuchukua tahadhari dhidi ya Corona na napinga matumizi ya chanjo inayopigiwa kampeni na dunia

Nasimama na Rais Magufuli kwenye kuchukua tahadhari dhidi ya Corona na napinga matumizi ya chanjo inayopigiwa kampeni na dunia

Ahsante sana kwa swali zuri na fikirishi. Naomba kukujibu kama ifuatavyo:- ni kwamba sisi kama wazungu tulikaa na kujadili kwa mapana na marefu kuhusiana na suala la hili chanjo na majaribio yake. Kiukweli haikuwa kazi rahisi ila tumejitahidi sana katika jambo hili. Katika mikutanao yetu maazimio yalikuwa ni kwamba sehemu nzuri kwa majaribio ya chanjo zetu ni Africa kwa sababu hata kama chanjo itakuwa imesababisha matatizo kwao hatuna cha kupoteza. Pili, tumelenga afrika kwani ni itakuwa ni sehemu nzuri katika mkakati wa kibiashara, kama mjuavyo Afrika hawana uwezo wa kutengeneza dawa yoyote hivyo basi tukiwatia wasi wasi wa hali ya juu kuhusiana na hili gonjwa hakika itakuwa ni fursa nzuri sana ya kibiashara kwa sababu tutapata soko kubwa la kuuza chanjo zetu.

Kama nilivyojibu hapo juu ni kwamba Afrika ndiyo sehemu ya majaribio ya chanjo zetu kwa sababu nyie mna kinga za mwili zenye nguvu kubwa sana ambazo huwa haitingishiki kirahisi. Pili, hatuwezi fanya majaribio kwa wazungu wenzetu kwani hizo dawa zitatuumiza sana kutokana na asili ya miili yetu ilivyo. Tatu, shabaha kubwa ni Afrika ili tuweze kupata masoko ya kuuza chanjo zetu.

Hatuwezi kutumia nguvu ya kuhamasisha mafumo mzima wa maisha wakati tayari watu walitumia gharama kubwa katika kufanya utafiti na kutengeneza chanjo hiyo. Tukihamasisha hilo suala. Je watapataje gharama zao walizotumia kufanya utafiti na kugundua chanjo wakati wahusika wa WHO ndiyo hao hao ni moja ya watu watakaonufaika kupitia usambazaji wa hiyo chanjo?

Narudia kusema kwamba lengo siyo kukulinda wewe Mwafrika bali tunatafuta masoko kwa ajili ya kuuza bidhaa zetu ikiwa ni pamoja na chanjo zetu. Naomba ufanye marejeo ya majibu yangu hapo juu.

SUMMARY
1. Kutokana na ujinga na umasiki wenu na kupenda vitu vya bure tumeamua kwa Afrika iwe ni eneo la majaribio ya chanjo zetu.

2. Afrika ni sehemu sahihi ya kuuza bidhaa zetu(Potential area)

3. Mkikataa kuruhusu chanjo tutawabana tu kwenye mikopo yetu. Hivyo sidhani kama mtakuwa na jeuri ya kukataa chanzo zetu.

NB: wajinga ndio waliwao.

Ahsanteni na karibuni sana.
Kwa niaba ya wazungu.

Mdeni wangu umekuja na maneno konki☺☺☺
 
Wakati UK wanareport wastani wa vifo 1000 kwa siku, USA wao wana wastani wa vifo 4000 kwa siku. Kwanini wasitoe hiyo chanjo kwenye hizi nchi zilizoathirika zaidi ili kuonyesha effectiveness ya chanjo na kutokomeza vifo kabla ya kuja Africa?
Jibu hiro hapo, acheni kupotosha
 

Attachments

  • Screenshot_20210129-140356.png
    Screenshot_20210129-140356.png
    73.7 KB · Views: 1
4.Tumsikilize mtanzania mwenzetu hapa chini na tutafakari huu upendo mkubwa hivi kwa mataifa yaliyoendelea wa kutaka kutulinda ili tusife wakati wao wanakufa kila siku tena kwa maelfu unasababishwa na nini?
Hio hapa soma kwa sauti. IQ ya Watanzania ni ndogo muno
 

Attachments

  • Screenshot_20210129-140442.png
    Screenshot_20210129-140442.png
    47.6 KB · Views: 1
Wanaopanga kupunguza waafrika billion3 ndio haohao watoa chanjo

View attachment 1688987

RAIS MSTAAFU MZEE JAKAYA "Za kuambiwa changanya na zako"
Ujinga mwingine hata ni kinyaa kuujadili. Waafrika tulioko kwenye bara hili tupo 1.2b, sasa hao 3b wanaotakiwa kuangamizwa wanatoka wapi? Halafu unakuta watu wanajadili kabisa huu upuuzi.
 
Ukifuatilia sana hii ishu mfano pale Uingereza selikali iliingia kwenye mgogoro na kampuni inayotengeneza hii chanjo kwa madai ni kwa usalama wa taifa.
Baadae umoja wa Ulaya wakasema mazungumzo yanafanyika.
Mpaka sasa hivi haieleweki ni usalama upi uliosababisha huo mgongano.

Kama kawaida JPM atakuja kueleweka baadae sana.

Fungua bbcnews.com muda huu usome kisha uje na hizi hadithi zako outdated.
 
Arvs ni biashara zao. Hawapo kwa ajili ya kukusaidia

Kwani hizo ndege wanazotuuzia sio biashara zao? Silaha tunazonunua kwao sio biashara zao? Mbona hawatoi hizo ndege na silaha kama msaada ili tujue hizo ARV's sio msaada?
 
Ujinga mwingine hata ni kinyaa kuujadili. Waafrika tulioko kwenye bara hili tupo 1.2b, sasa hao 3b wanaotakiwa kuangamizwa wanatoka wapi? Halafu unakuta watu wanajadili kabisa huu upuuzi.
Ujinga zaidi ni kushindwa kujua huo sio mpango wa siku moja au mwaka mmoja

Wakati wewe unaiwaza Leo wao wanaiwaza 2100
Jiongeze
 
Kwani hizo ndege wanazotuuzia sio biashara zao? Silaha tunazonunua kwao sio biashara zao? Mbona hawatoi hizo ndege na silaha kama msaada ili tujue hizo ARV's sio msaada?
Kwahiyo ukitegemea mzungu au beberu atakufanyia uovu huku unaona?
 
Ujinga zaidi ni kushindwa kujua huo sio mpango wa siku moja au mwaka mmoja

Wakati wewe unaiwaza Leo wao wanaiwaza 2100
Jiongeze

Acheni ujinga, mtu anasema wazungu wana mpango wa kuangamiza waafrika 3b kisha unaleta post kama reference, nimekuambia hatufiki hata nusu ya hiyo 3b unaleta majibu ya kuokoteza eti wanawaza 2,100. Hiyo 2,100 utakuwepo au unaleta story za vijiwe vya wachovu?
 
Sio lazima uchwanjwe, ww kanywe kikombe cha babu. Acha wanaotaka kuchanjwa wachanjwe.
Yap.. Bora nikanywe kikombe kuliko hayo machanjo yenu. Hayo tunawaachia nyie
 
Kuna ukoo nawajua huwa hawakubali chanjo yoyote. Wazee wao wananiambia walizaliwa miaka ya 1940s na wao hawajawahi pewa chanjo wala watoto wao, wala wajukuu, wala vitukuu. Sio chanjo ya ndui sijui surua wala TB.

Ukiangalia vizuri sio unaweza ukatamani kufanya uchunguzi zaidi sababu upo ukweli kwamba waliochanjwa chanjo ya TB bado wanaugua TB na wapo wasiochanjwa na hawaugui

Tusikubali chanjo kama fashion, tuhoji na kujiridhisha kwamba hizo chanjo zina faida au hasara na tuchague mbadala kama upo
Washukuru wanaishi katikati ya waliochanjwa. Hakuna umaana kukataa kinga.
 
Back
Top Bottom