kibori nangai
JF-Expert Member
- Jan 14, 2015
- 1,430
- 2,130
Wanajamvi wenzangu
Nakusalimu sana na poleni nyote humo mlipo najua mko mkilitumikia Taifa letu.
Mim Kibori Nangai
Nitamtetea ,nitasimama na Majaliwa Kasimu Mh Waziri Mkuu wa Taifa letu.
Sihitaji kupangiwa ,
Hawa wanaharakiti Uchwara hatuwataki hata kidogo
Kuna huyu anayejiita Tito Magoti
Anapaswa kupingwa na kila mtanzani mwenye mapenzi mema na nchi yetu.
Nije kwenye ajali zinazotokea kila mara sioni kama ni chanzo sahihi kinachoweza kumpima MKM kiutendajii
Ajali hizi zinatokea bila kupangwa
Hivyo hawa wanaharakati uchwara
Tafadhali sana nikisikia tena hizo roomers zenu mtanitambua kwakwelii.
Viva MAJALIWA KASIMU MAJALIWA
Mtu mwaadilifu sio kama hawa wasambaza mitungi eti nishati safi akati huko Bumbuli hata maji ya kuunywa hakuna.
Tena hata hiyo Bumbuli haijui yupoyupo tuuu.
Nakusalimu sana na poleni nyote humo mlipo najua mko mkilitumikia Taifa letu.
Mim Kibori Nangai
Nitamtetea ,nitasimama na Majaliwa Kasimu Mh Waziri Mkuu wa Taifa letu.
Sihitaji kupangiwa ,
Hawa wanaharakiti Uchwara hatuwataki hata kidogo
Kuna huyu anayejiita Tito Magoti
Anapaswa kupingwa na kila mtanzani mwenye mapenzi mema na nchi yetu.
Nije kwenye ajali zinazotokea kila mara sioni kama ni chanzo sahihi kinachoweza kumpima MKM kiutendajii
Ajali hizi zinatokea bila kupangwa
Hivyo hawa wanaharakati uchwara
Tafadhali sana nikisikia tena hizo roomers zenu mtanitambua kwakwelii.
Viva MAJALIWA KASIMU MAJALIWA
Mtu mwaadilifu sio kama hawa wasambaza mitungi eti nishati safi akati huko Bumbuli hata maji ya kuunywa hakuna.
Tena hata hiyo Bumbuli haijui yupoyupo tuuu.