Nasisitiza wenye mamlaka makinikeni na Karia wa TFF

Nasisitiza wenye mamlaka makinikeni na Karia wa TFF

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Karia kwa kauli na matendo hakika ni mtu wa kuchungwa mno kisiasa kama kimelea kinachokaribia kuleta sintofahamu kubwa baina ya wananchi wa Tanzania.

Pamoja na kuongoza TFF bado Karia anawajibika kutokusababisha manung'uniko na kuwagawa Watanzania kwa sababu ya chuki zake binafsi kwa adui zake.

Serikali imwangalie Karia kwa jicho la upekee kama mhalifu mtarajiwa.
 
Karia kwa kauli na matendo hakika ni mtu wa kuchungwa mno kisiasa kama kimelea kinachokaribia kuleta sintofahamu kubwa baina ya wananchi wa Tanzania.

Pamoja na kuongoza TFF bado Karia anawajibika kutokusababisha manung'uniko na kuwagawa Watanzania kwa sababu ya chuki zake binafsi kwa adui zake.

Serikali I'm imwangalie Karia kwa jicho la upekee kama mhalifu mtarajiwa.
Hata kama watakukejeli, au kukutukana! Ila kuna ukweli ndani yake.
 
Unalia tu bila kuonesha hayo matatizo ya Karia ili tupime uzito wake, nyie shida yenu mmechagua kushikiwa akili na yule mropokaji, sasa vumilieni adhabu ya ujinga wake kwasababu mmeamua kumbebea.

Halafu nashangaa Kamati ya Maadili mbona iko kimya kwa yale mashtaka mapya ya mropokaji na bosi wake Hersi? au ndio bahasha imeshatembea?

Nyie bora mkae kimya tu, mnalolitafuta mtalipata, Karia na Kamati ya Maadili wanatakiwa kuanza kutujibu maswali yetu, kwanini ile kesi mpya haitolewi adhabu?
 
Huyu kila mda kumlalamikia karia,ujinga ufanywe na manara afu lawama zimrudie karia,mmeshikiwa akili zenu na hilo zwazwa,
 
Ukiona Panya ana mnanga Paka adharani bila kuogopa ,ujue Kuna shimo la kurokea jirani!
Karia ana Godfather wake anaye mlinda serikalini!
 
Karia kwa kauli na matendo hakika ni mtu wa kuchungwa mno kisiasa kama kimelea kinachokaribia kuleta sintofahamu kubwa baina ya wananchi wa Tanzania.

Pamoja na kuongoza TFF bado Karia anawajibika kutokusababisha manung'uniko na kuwagawa Watanzania kwa sababu ya chuki zake binafsi kwa adui zake.

Serikali imwangalie Karia kwa jicho la upekee kama mhalifu mtarajiwa.
Maandiko yako mengi yamejaa chuki, hasira, wivu, kijicho n.k kuhusu watu fulani. Hali hii hupelekea matatizo ya afya ya akili.
Nb: Chukua hatua haraka!!!!!
 
Back
Top Bottom