King_Villa
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 575
- 380
Na hao watu wanaojiita wamikoani sijui tatizo nini?
Kuna watu saivi mtaani hawali chips vibandani
Kuna watu saivi kuoga Mara moja kwa wiki.
Kuna watu saivi Maisha yao yameharibiwa na hii misemo ya watu wasio kaa dar.
At kufanya kitu flani ni chakimama.
Sasa hii Mpya na Kali yao nimeisoma mahali ati ukimiliki smartphone au "simujanja" unakuwa ni mwanaume wa dar.
Sasa wanaume wa mikoani mnatumia simu gani?
Kuna watu saivi mtaani hawali chips vibandani
Kuna watu saivi kuoga Mara moja kwa wiki.
Kuna watu saivi Maisha yao yameharibiwa na hii misemo ya watu wasio kaa dar.
At kufanya kitu flani ni chakimama.
Sasa hii Mpya na Kali yao nimeisoma mahali ati ukimiliki smartphone au "simujanja" unakuwa ni mwanaume wa dar.
Sasa wanaume wa mikoani mnatumia simu gani?