Nasoma chuo kikuu ivi nifanye nini kuhusu hili hapa?

mungu akupe nini kwa ushauli mzuri ivyo! Ubarikiwe
 
Nyie mabingwa wa matusi eti mlisomea chuo gani hayo matusi, na mimi nataka angalau certificate tu.
 
Kupost kitu humu haimaanishi wewe ndie mlengwa haswa! Unaweza ukapost kwakuwa umeambiwa na mtu upost kitu fulani kwasababu fulani, eidha unayempostia hajajiunga jf au hana access ya internet. So tusishangae kuona watu wanakuja na thread tofauti tofauti ambazo hazina uhusiano. ASANTENI!
 
Hii ndo JF bana, hakuna kuuma maneno! Ukija na swagga za vijijini kama za huyo mbulula anayejifanya yupo university ni kuumbuliwa tu. SAFI SANA MEMBERS!
 
oya dogo utakuwa kwenye kitengo chA TAKWIMU MBALIMBALI HAPA NCHINI(STATISTICS),WEE KOMA 2 UTAFANIKIWA!
 
Nilitaka kushangaa mwl.wa taboraboys aweze moshi huu, tuombe radh kwa wana taboraboys huna kipaj wewe lala huko .
 
Huna kipaji! Omba radhi kwa walimu wa taboraboys, unaweka mambo ya ajabu, kilaza wewe fiv iii.25 , formvi ,iii._17
 

By Asprin

Unapokuwa mwongo unapaswa uwe na kumbukumbu we dogo.... Haya si umeyaandika wewe??



Asprin umetisha!!!!!!!!!!!
Ila dogo anaonyesha jinsi gani uwezo wake ulivyo mkubwa sana kwenye kufikiria pafupi!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…