Soka gani sasa na wewe mpwa makaveli10Shida ni timu inacheza haitengenezi nafasi, au inatengeneza lakini watu hawafungi, kama hawafungi na nafasi zinatengenezwa hiyo si shida ya nabi..
Watani msimletee chokochoko nabii, ni kocha mzuri hata mimi natamani lile soka lingekuwa linapigwa msimbazi.
Kama kipimo cha kocha mzuri ni mashindano ya CAF, niambie uchebe, Sven na Pablo wako kwenye timu zipi kubwa? Na wamefanikiwa kipi huko walipoHamna kocha pale sehemu zote alitumuliwa kwasababu alikuwa hafanyi vizuri Caf champions league na Caf confederation cup yanga woa wanaona wamepata professor kocha hana mbinu yoyote yupo yupo tu
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Siku tukilingana na Simba Point ndipo mtanielewa ninachomaanisha wapumbavu nyie!,leo tunafurahi kwasababu tumemuacha Simba Point 6,ikatokea akatufikia ndipo mtaona umuhimu wa timu kufunga magoli mengi.Mmeanza tena kama kawaida yenu hamchoki. Mlianza kioindi kile tumetolewa na Hilal klabu bingwa akaja kufuzu Confederation ugenini kwa muarabu mkatulia na hapo kabla mlianzisha vitetesi vya uongo eti kapewa mechi mbili tatu hii kutuvuruga lakini Yanga siku zote sio kama makolo tulitulia tuli sasa hivi mmekuja na visababu vingine yan ili mradi kutaka kuleta purukushani tu timu itetereke.
Hakuna unachojua kuhusu fitina kaa kimya wanaume tunabeba na msimu huu
Siku tukilingana na Simba Point ndipo mtanielewa ninachomaanisha wapumbavu nyie!,leo tunafurahi kwasababu tumemuacha Simba Point 6,ikatokea akatufikia ndipo mtaona umuhimu wa timu kufunga magoli mengi.Utakuwa umetumwa na upande wa pili siyo bure
Yaan umwache kocha kisa timu inafunga magoli machache?!!
Unataka tumuache halafu adakwe na upande wa pili eeh
Umezingua mwamba
Siku tukilingana na Simba Point ndipo mtanielewa ninachomaanisha wapumbavu nyie!,leo tunafurahi kwasababu tumemuacha Simba Point 6,ikatokea akatufikia ndipo mtaona umuhimu wa timu kufunga magoli mengi.Aah bwana ww. Tunakufahamu sana ww shabiki wa timu gani hakuna haja ya kuitambulisha. Rudi kwenye timu lako bovu tuache na yanga yetu. Nabi amefanya makubwa na mpira mkubwa tunauona. Ubingwa ni hesabu sio kufunga magoli kama vichaa alaf next game mnapata sare. Nenda tu kweny litimu lenu bivu mandunduka..
Siku tukilingana na Simba Point ndipo mtanielewa ninachomaanisha wapumbavu nyie!,leo tunafurahi kwasababu tumemuacha Simba Point 6,ikatokea akatufikia ndipo mtaona umuhimu wa timu kufunga magoli mengi.Mnaleta kocha anawapa makombe ambayo ilipita miaka bila kuyapata, anawapeleka kimataifa, Leo mnamnanga eti mnataka magoli mengi, nabii huyu huyu ambae simba wanamuona kama mchawi wao
Akija kocha akileta mabao mengi asichukue vikombe ndo atafaa sio,
Mnasemaje wanawake hawajui wanachotaka ila nahisi ni binadamu wote tu
Kutokufunga magoli sio tatizo la kocha. Moloko, Kisinda na Faridi Mussa ndio mawinga wanaotegemewa hao, wakipata mipira wanachokifanya wanajua wao. Bado kule mbele kuna mapungufu ya wachezaji wenye viwango. Ukimtoa Aziz Ki, waliobaki ni unga unga mwana tuSiku tukilingana na Simba Point ndipo mtanielewa ninachomaanisha wapumbavu nyie!,leo tunafurahi kwasababu tumemuacha Simba Point 6,ikatokea akatufikia ndipo mtaona umuhimu wa timu kufunga magoli mengi.
Acheni ushaabiki wa kipumbavu.
kwahio hujui kama utoni kuna misukule?Au Kama vipi kaendelee na Ally mpemba wako na kulisha na kulala na misukule! Tangu lini usikia shabiki kweli wa yanga akalala na misukule?
Jamani hamuwezi kutoa mada bila kutukanana?Siku tukilingana na Simba Point ndipo mtanielewa ninachomaanisha wapumbavu nyie!,leo tunafurahi kwasababu tumemuacha Simba Point 6,ikatokea akatufikia ndipo mtaona umuhimu wa timu kufunga magoli mengi.
Acheni ushaabiki wa kipumbavu.
Wachezaji waliokamilika! Mfumo wa uchezaji wa Yanga unategemea mawinga na kwasasa Yanga hakuna mawinga wa maana zaidi ya Morrison. Faridi, Moloko na Kisinda wameshindwa vile ambavyo wanapaswa kufanya. Timu imebakia na Aziz Ki pekee yake mbele katika kuchezesha timu.
Mshamba huyo, mpuuze tu.Jamani hamuwezi kutoa mada bila kutukanana?
Wewe ndio pumbavu la kwanza ngedere kuwiko huna unalijua kuhusu mpira uko kupayuka payuka tu. Hakuna mnaloweza kufanya kufuta hili gape la point 6 zaidi komaeni lisiongezeke.Siku tukilingana na Simba Point ndipo mtanielewa ninachomaanisha wapumbavu nyie!,leo tunafurahi kwasababu tumemuacha Simba Point 6,ikatokea akatufikia ndipo mtaona umuhimu wa timu kufunga magoli mengi.
Acheni ushaabiki wa kipumbavu.
Watakusoma sana. maana bongo zao ni nzito. Yanga inaenda kutia aibu kwenye shirikisho.Wengi wenu mtanielewa baadae kwasababu ya upumbavu wenu!.
Muda utaongea
Yanga kwa Kingereza inaitwa Young Africans (yaani Vijana wa Kiafrika). Na siyo Dar Young Africans!Nsikuchoshe na usinichoshe,tusichoshane!.
Kwanza kabisa nikiri,mimi ni mpenzi na shabiki mkubwa wa Dar Young Africans au kwa Kiswahili Yanga.
Klabu hii imepitia changamoto sana hasa wakati ambapo wenzetu waliingia kwenye mabadiliko ya kiundeshaji,wakati wao wakiwa kwenye machakato wa mabadiliko tayari walikuwa na mtoa fedha ambaye aliwekeza fedha zake ili kuiletea klabu matokeo chanya,matokeo yake tuliyaona kwa kututesa kwa takribani miaka 4.
Wakati wenzetu wakiwa na furaha kwa misimu minne,sisi wengine tulikuwa tukisuasua kwa ukosefu wa fedha.
Nitoe shukurani sana kwa uongozi wa timu yangu ya Yanga kuingia kwenye mabadiliko ambayo leo tunaona faida yake.Sasa pamoja na kuwa tunaona faida ya kuwa na mfumo wa uendedhaji timu ulio imarika lakini bado nina mashaka makubwa mno na benchi la ufundi.
Nimshukuru Kocha wetu Nasredin Nabi tangu amekuja nchini Yanga imekuwa ikicheza mpira mkubwa mno lakini bado nina mashaka makubwa pia na ufundishaji wa kocha huyu.Yanga hii iliyokamilika kila idara sijui bado inakosea wapi kwani tuna tatizo kubwa la upatikanaji wa mabao.
Nakumbuka miaka mitatu hadi minne iliyopita Yanga ilikuwa inatoa dozi za mabao ya kutosha kwa timu pinzani lakini kwasasa pamoja kuwa na striker bora hapa Afrika lakini tunaambulia magoli machache.
Sijajua ni mbinu za ufundishaji za kocha Nabi au uenda tatizo ni nini!,Kwa Yanga hii iliyokamilika kila Idara nilitegemea tunapoingia uwanjani mpinzani yeyote akikutana na kipigo kidogo basi iwe angalau goli tatu,lakini ushindi wetu umekuwa wa kupambana sana,nafasi tunatenegeneza za kutosha lakini tunapata goli chache!.
Nadhani kwasasa Nabi anapaswa apumzike ili aletwe kocha mwingine mwenye mbinu mpya!.
Nauomba uongozi huu msimu uwe wa Mwisho kwa Kocha Nabi,Nabi ni kocha mzuri sana lakini pia anayo mapungufu yake.
Ni hayo tu.
Kweli kabisa timu ina struggle sana kupata ushindi.foward line sio nzuri sana au midfielder wanalisha mipira mibovu akina mayele.Nsikuchoshe na usinichoshe,tusichoshane!.
Kwanza kabisa nikiri,mimi ni mpenzi na shabiki mkubwa wa Dar Young Africans au kwa Kiswahili Yanga.
Klabu hii imepitia changamoto sana hasa wakati ambapo wenzetu waliingia kwenye mabadiliko ya kiundeshaji,wakati wao wakiwa kwenye machakato wa mabadiliko tayari walikuwa na mtoa fedha ambaye aliwekeza fedha zake ili kuiletea klabu matokeo chanya,matokeo yake tuliyaona kwa kututesa kwa takribani miaka 4.
Wakati wenzetu wakiwa na furaha kwa misimu minne,sisi wengine tulikuwa tukisuasua kwa ukosefu wa fedha.
Nitoe shukurani sana kwa uongozi wa timu yangu ya Yanga kuingia kwenye mabadiliko ambayo leo tunaona faida yake.Sasa pamoja na kuwa tunaona faida ya kuwa na mfumo wa uendedhaji timu ulio imarika lakini bado nina mashaka makubwa mno na benchi la ufundi.
Nimshukuru Kocha wetu Nasredin Nabi tangu amekuja nchini Yanga imekuwa ikicheza mpira mkubwa mno lakini bado nina mashaka makubwa pia na ufundishaji wa kocha huyu.Yanga hii iliyokamilika kila idara sijui bado inakosea wapi kwani tuna tatizo kubwa la upatikanaji wa mabao.
Nakumbuka miaka mitatu hadi minne iliyopita Yanga ilikuwa inatoa dozi za mabao ya kutosha kwa timu pinzani lakini kwasasa pamoja kuwa na striker bora hapa Afrika lakini tunaambulia magoli machache.
Sijajua ni mbinu za ufundishaji za kocha Nabi au uenda tatizo ni nini!,Kwa Yanga hii iliyokamilika kila Idara nilitegemea tunapoingia uwanjani mpinzani yeyote akikutana na kipigo kidogo basi iwe angalau goli tatu,lakini ushindi wetu umekuwa wa kupambana sana,nafasi tunatenegeneza za kutosha lakini tunapata goli chache!.
Nadhani kwasasa Nabi anapaswa apumzike ili aletwe kocha mwingine mwenye mbinu mpya!.
Nauomba uongozi huu msimu uwe wa Mwisho kwa Kocha Nabi,Nabi ni kocha mzuri sana lakini pia anayo mapungufu yake.
Ni hayo tu.