Nasredin Nabi nashukuru kwa kutufikisha hapa

Nasredin Nabi nashukuru kwa kutufikisha hapa

Ushindi wa Yanga ni wa kocha Nabi hasa second half Yanga huja kivingine,

sijui umetumwa na nani.

Ya Feitoto mmeshindwa mmerukia kwa kocha Nabi!

Nabi kachukua makombe yote mwaka jana, mwaka huu tumeingia makundi shirikisho na kombe la ligi tumeanza kuandaa sherehe ya Mafataki Arachuga!

sisi wanaYanga inatutosha sana anachotupa Nabi ,

hatupendi uchokozi Makolo tulieni dawa iingie!
 
Nsikuchoshe na usinichoshe,tusichoshane!.

Kwanza kabisa nikiri,mimi ni mpenzi na shabiki mkubwa wa Dar Young Africans au kwa Kiswahili Yanga.

Klabu hii imepitia changamoto sana hasa wakati ambapo wenzetu waliingia kwenye mabadiliko ya kiundeshaji,wakati wao wakiwa kwenye machakato wa mabadiliko tayari walikuwa na mtoa fedha ambaye aliwekeza fedha zake ili kuiletea klabu matokeo chanya,matokeo yake tuliyaona kwa kututesa kwa takribani miaka 4.

Wakati wenzetu wakiwa na furaha kwa misimu minne,sisi wengine tulikuwa tukisuasua kwa ukosefu wa fedha.

Nitoe shukurani sana kwa uongozi wa timu yangu ya Yanga kuingia kwenye mabadiliko ambayo leo tunaona faida yake.Sasa pamoja na kuwa tunaona faida ya kuwa na mfumo wa uendedhaji timu ulio imarika lakini bado nina mashaka makubwa mno na benchi la ufundi.

Nimshukuru Kocha wetu Nasredin Nabi tangu amekuja nchini Yanga imekuwa ikicheza mpira mkubwa mno lakini bado nina mashaka makubwa pia na ufundishaji wa kocha huyu.Yanga hii iliyokamilika kila idara sijui bado inakosea wapi kwani tuna tatizo kubwa la upatikanaji wa mabao.

Nakumbuka miaka mitatu hadi minne iliyopita Yanga ilikuwa inatoa dozi za mabao ya kutosha kwa timu pinzani lakini kwasasa pamoja kuwa na striker bora hapa Afrika lakini tunaambulia magoli machache.

Sijajua ni mbinu za ufundishaji za kocha Nabi au uenda tatizo ni nini!,Kwa Yanga hii iliyokamilika kila Idara nilitegemea tunapoingia uwanjani mpinzani yeyote akikutana na kipigo kidogo basi iwe angalau goli tatu,lakini ushindi wetu umekuwa wa kupambana sana,nafasi tunatenegeneza za kutosha lakini tunapata goli chache!.

Nadhani kwasasa Nabi anapaswa apumzike ili aletwe kocha mwingine mwenye mbinu mpya!.

Nauomba uongozi huu msimu uwe wa Mwisho kwa Kocha Nabi,Nabi ni kocha mzuri sana lakini pia anayo mapungufu yake.

Ni hayo tu.
Wewe ndo unapaswa upumzike kuwa shabiki wa mpira wa miguu na sasa ukashabikie netball
 
Siku tukilingana na Simba Point ndipo mtanielewa ninachomaanisha wapumbavu nyie!,leo tunafurahi kwasababu tumemuacha Simba Point 6,ikatokea akatufikia ndipo mtaona umuhimu wa timu kufunga magoli mengi.

Acheni ushaabiki wa kipumbavu.
Magoli tuliyomzidi Uto ni yale tuliyopata kwa mchongo wa kuwadhoofisha wapinzani wetu kwa red cards na PENALTI za utata.
 
Jamaa hujakosea tatizo wengi wanaangalia mpira kishabiki hawataki kuangalia timu kiufundi ata kidogo Tu.
Ukiangalia yanga inavyocheza wakati tunashambulia utaona mawinga wanakuwa mbali sana na streka kunawakati unamkuta juma shabani na moloko wote wako pembeni au kibwana na Farid wote wako pembeni mayele akiwa peke yake kati sasa kwa mpira wa kisasa msipokuwa wengi kwenye box la mpinzani ni ngumu sana kupata magoli.

Ndo mana unaona yanga tukicheza na timu ndogo tunapata wakati mgumu sana kupata matokeo kwakuwa wanakaa wengi sana nyuma na mayele tunamuacha peke yake tofaut na tunapo cheza na timu kubwa ni rahis kupata matokeo kwa kuwa huwa wanafunguka hivyo kunakuwa na mianya mingi sana ndo mana mayele kafunga timu zote kubwa nchi hii
 
Nsikuchoshe na usinichoshe,tusichoshane!.

Kwanza kabisa nikiri,mimi ni mpenzi na shabiki mkubwa wa Dar Young Africans au kwa Kiswahili Yanga.

Klabu hii imepitia changamoto sana hasa wakati ambapo wenzetu waliingia kwenye mabadiliko ya kiundeshaji,wakati wao wakiwa kwenye machakato wa mabadiliko tayari walikuwa na mtoa fedha ambaye aliwekeza fedha zake ili kuiletea klabu matokeo chanya,matokeo yake tuliyaona kwa kututesa kwa takribani miaka 4.

Wakati wenzetu wakiwa na furaha kwa misimu minne,sisi wengine tulikuwa tukisuasua kwa ukosefu wa fedha.

Nitoe shukurani sana kwa uongozi wa timu yangu ya Yanga kuingia kwenye mabadiliko ambayo leo tunaona faida yake.Sasa pamoja na kuwa tunaona faida ya kuwa na mfumo wa uendedhaji timu ulio imarika lakini bado nina mashaka makubwa mno na benchi la ufundi.

Nimshukuru Kocha wetu Nasredin Nabi tangu amekuja nchini Yanga imekuwa ikicheza mpira mkubwa mno lakini bado nina mashaka makubwa pia na ufundishaji wa kocha huyu.Yanga hii iliyokamilika kila idara sijui bado inakosea wapi kwani tuna tatizo kubwa la upatikanaji wa mabao.

Nakumbuka miaka mitatu hadi minne iliyopita Yanga ilikuwa inatoa dozi za mabao ya kutosha kwa timu pinzani lakini kwasasa pamoja kuwa na striker bora hapa Afrika lakini tunaambulia magoli machache.

Sijajua ni mbinu za ufundishaji za kocha Nabi au uenda tatizo ni nini!,Kwa Yanga hii iliyokamilika kila Idara nilitegemea tunapoingia uwanjani mpinzani yeyote akikutana na kipigo kidogo basi iwe angalau goli tatu,lakini ushindi wetu umekuwa wa kupambana sana,nafasi tunatenegeneza za kutosha lakini tunapata goli chache!.

Nadhani kwasasa Nabi anapaswa apumzike ili aletwe kocha mwingine mwenye mbinu mpya!.

Nauomba uongozi huu msimu uwe wa Mwisho kwa Kocha Nabi,Nabi ni kocha mzuri sana lakini pia anayo mapungufu yake.

Ni hayo tu.
Utakuwa shabiki wa FC Dunduka wewe
 
Back
Top Bottom