Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,098
- 631
Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Joshua Nassari, juzi alijikuta akiumbuka bungeni baada
ya kushindwa kutaja kanuni aliyoitumia, kuomba mwongozo.Hali hiyo ilitokea muda mfupi kabla
ya wajumbe kupiga kura za kumchagua Mwenyekiti wa Bunge hilo.
Kuumbuka kwa mjumbe huyo ambaye pia ni Mbunge wa Arumeru Mshariki, kulitokana na Mwenyekiti
wa Muda wa Bunge hilo, Pandu Ameir Kificho, kumtaka kutaja kanuni aliyoitumia.
Hata hivyo, baada ya kusita kwa muda Nassari bila kutaja kanuni aliyoitumia, alisema wajumbe wengi
hawajasikia utaratibu unaotumika katika upigaji kura kwa sababu walichelewa kwenye msongamano wa
watu getini.
ya kushindwa kutaja kanuni aliyoitumia, kuomba mwongozo.Hali hiyo ilitokea muda mfupi kabla
ya wajumbe kupiga kura za kumchagua Mwenyekiti wa Bunge hilo.
Kuumbuka kwa mjumbe huyo ambaye pia ni Mbunge wa Arumeru Mshariki, kulitokana na Mwenyekiti
wa Muda wa Bunge hilo, Pandu Ameir Kificho, kumtaka kutaja kanuni aliyoitumia.
Hata hivyo, baada ya kusita kwa muda Nassari bila kutaja kanuni aliyoitumia, alisema wajumbe wengi
hawajasikia utaratibu unaotumika katika upigaji kura kwa sababu walichelewa kwenye msongamano wa
watu getini.