Nasubiri kauli ya Dkt. Askofu Gwajima juu ya haya yanayoendelea

Nasubiri kauli ya Dkt. Askofu Gwajima juu ya haya yanayoendelea

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Amekuwa akijinasibu kuwa mtetezi wa maliasili na uzalendo kwa Taifa.

Mpaka sasa hii ni wiki ya tatu sasa sijamsikia Kauli yake.

Juzi Jumapili nimeenda kwake lakini sikusikia akisema lolote?

Je ni Gwajima huyu yule wa zamani wa enzi za Corona au huyu tumebadilishiwa?
 
Amekuwa akijinasibu kuwa mtetezi wa mali asili na uzalendo kwa Taifa.

Mpaka sasa hii ni wiki ya tatu sasa sijamsikia Kauli yake.

Juzi jumapili nimeenda kwake lakini sikusikia akisema lolote?
Je ni Gwajima huyu yule wa zamani wa enzi za Corona au huyu tumebadilishiwa?
Hata akina Mrisho mpoto wameuchuna kama sio Watanzania vile.
 
Nguvu ya Giza imeisha!!
YOHANA 3:20-21

²⁰ Maana kila mtu atendaye mabaya huichukia nuru, wala haji kwenye nuru, matendo yake yasije yakakemewa.

²¹ Bali yeye aitendaye kweli huja kwenye nuru, ili matendo yake yaonekane wazi ya kuwa yametendwa katika Mungu.

HILO NDILO NENO LA MUNGU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
YOHANA 3:20-21

²⁰ Maana kila mtu atendaye mabaya huichukia nuru, wala haji kwenye nuru, matendo yake yasije yakakemewa.

²¹ Bali yeye aitendaye kweli huja kwenye nuru, ili matendo yake yaonekane wazi ya kuwa yametendwa katika Mungu.

HILO NDILO NENO LA MUNGU

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii biblia ime andikwa na nani?
 
YOHANA 3:20-21

²⁰ Maana kila mtu atendaye mabaya huichukia nuru, wala haji kwenye nuru, matendo yake yasije yakakemewa.

²¹ Bali yeye aitendaye kweli huja kwenye nuru, ili matendo yake yaonekane wazi ya kuwa yametendwa katika Mungu.

HILO NDILO NENO LA MUNGU

Sent using Jamii Forums mobile app
Sifa kwako Eeh Kristo
 
Amekuwa akijinasibu kuwa mtetezi wa mali asili na uzalendo kwa Taifa.

Mpaka sasa hii ni wiki ya tatu sasa sijamsikia Kauli yake.

Juzi jumapili nimeenda kwake lakini sikusikia akisema lolote?
Je ni Gwajima huyu yule wa zamani wa enzi za Corona au huyu tumebadilishiwa?
siyo mpumbavu km wewe, na iyo mnafiki kujidai ni wazalendo kumbe mmelishwa asali.
 
Amekuwa akijinasibu kuwa mtetezi wa mali asili na uzalendo kwa Taifa.

Mpaka sasa hii ni wiki ya tatu sasa sijamsikia Kauli yake.

Juzi jumapili nimeenda kwake lakini sikusikia akisema lolote?
Je ni Gwajima huyu yule wa zamani wa enzi za Corona au huyu tumebadilishiwa?
Bado unasubiri safari ya carlifonia!
 
Amekuwa akijinasibu kuwa mtetezi wa maliasili na uzalendo kwa Taifa.

Mpaka sasa hii ni wiki ya tatu sasa sijamsikia Kauli yake.

Juzi Jumapili nimeenda kwake lakini sikusikia akisema lolote?

Je ni Gwajima huyu yule wa zamani wa enzi za Corona au huyu tumebadilishiwa?
Ukorofii huu
 
Back
Top Bottom