uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Nashauri gwajima asiseme kitu mamlaka zinamchukia sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kitu 👆👆 haipo kwa wanaccm!! NB; Chama kisharidhia hivyo hakuna mwanachama mwenye haki ya kupinga, over!!uzalendo
Askofu Gwajima ni "mjasiriasiasa". Opportunist. Ndoto zake za sasa ni kupata nafasi ya uteuzi ya juu kama VP, PM, na hasa Urais wa Nchi. Ndiyo ndoto za lengo lake. Yuko inspired na Rais wa sasa wa Malawi. Anaota Nchi inahitaji Rais mlokole ilie haki itawale. Ni hivyo tuAmekuwa akijinasibu kuwa mtetezi wa maliasili na uzalendo kwa Taifa.
Mpaka sasa hii ni wiki ya tatu sasa sijamsikia Kauli yake.
Juzi Jumapili nimeenda kwake lakini sikusikia akisema lolote?
Je ni Gwajima huyu yule wa zamani wa enzi za Corona au huyu tumebadilishiwa?
tutasikiaje Sasa akinong'ona Kama nyuki !? gwaji bweka tu tusikie neno kutoka kwako.Kuna siku alisema amejifunza kunong'ona kama nyuki, sio kubweka kama Mbwa.
Hawezi tena kuongea, kipindi cha corona Samia alimfunga mdomo pale Tegeta, alimwita Gwajiboy upooo?Amekuwa akijinasibu kuwa mtetezi wa maliasili na uzalendo kwa Taifa.
Mpaka sasa hii ni wiki ya tatu sasa sijamsikia Kauli yake.
Juzi Jumapili nimeenda kwake lakini sikusikia akisema lolote?
Je ni Gwajima huyu yule wa zamani wa enzi za Corona au huyu tumebadilishiwa?
😆😆😆Hawezi tena kuongea, kipindi cha corona Samia alimfunga mdomo pale Tegeta, alimwita Gwajiboy upooo?
Tangu siku ile ulimsikia tena?
we ulienda kuhudhuria ibada au kufuata ubuyu?Amekuwa akijinasibu kuwa mtetezi wa maliasili na uzalendo kwa Taifa.
Mpaka sasa hii ni wiki ya tatu sasa sijamsikia Kauli yake.
Juzi Jumapili nimeenda kwake lakini sikusikia akisema lolote?
Je ni Gwajima huyu yule wa zamani wa enzi za Corona au huyu tumebadilishiwa?
Ibada na ubuyuwe ulienda kuhudhuria ibada au kufuata ubuyu?
ukiendekeza unafiki utakufa mapema sana, badilika.