Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Yani mpaka waseme
Bado hamjasema, ila mutasema tu.Kwanza, Yanga walipitia mlango usiokuwa rasmi
Pili, Wakati wanakagua uwanja kuna vitu vilikuwa vinamwagwa uwanjani halafu vinashindiliwa
Moloko alionekana katika kibendera akikanyaga vitu vilivyokuwa vinamwagwa na mwenzake
Golini upande wa kusini wakawa wanamwaga vitu na kuvikanyaga
Hayo ndio niliyoyaona jana achilia mbali aziz key kuambiwa awe wa mwisho kuingia uwanjani, sijasahau basi lao hawakupanda jana wakapanda vigari vingine vya ajabu, haya yote wenye mpira wanaona.Tunasubiri
tena mshukuruni moloko kwa kuwatengenezea hilo goli moja hapo kwenye kibendela. La sivyo mlikuwa mnakufa mtungiMoloko alionekana katika kibendera akikanyaga vitu vilivyokuwa vinamwagwa
El ninyo sio ya Simba5G ni balaa...........................nyie si mlikua mnatambia mvua
Na jeneza na kumnyonga ALBINO kwenye sherehe yao ya MAKOLO DAY.5G ni balaa...........................nyie si mlikua mnatambia mvua
Halafu kweli.Afu sub zenu zilikuwa zinafanyika muda gani. Wachezaji wenu hatukuwaona wakitoka wala kuingia.
Kwa hiyo unataka kusema hata yale magoli yote 5 yaliingia kishirikina!! 😁Kwanza, Yanga walipitia mlango usiokuwa rasmi.
Pili, Wakati wanakagua uwanja kuna vitu vilikuwa vinamwagwa uwanjani halafu vinashindiliwa
Moloko alionekana katika kibendera akikanyaga vitu vilivyokuwa vinamwagwa na mwenzake.
Golini upande wa kusini wakawa wanamwaga vitu na kuvikanyaga
Hayo ndiyo niliyoyaona jana achilia mbali aziz key kuambiwa awe wa mwisho kuingia uwanjani, sijasahau basi lao hawakupanda jana wakapanda vigari vingine vya ajabu, haya yote wenye mpira wanaona.
Tunasubiri
Jamaa kwann huwa wanawazaga uchawi tu ?Kwa hiyo unataka kusema hata yale magoli yote 5 yaliingia kishirikina!! 😁
Kweli a fool will remain fool whether he goes to school or not!