Imetoa tamko hili.Kwa kuwa USA inajali sana mambo yanayoendelea Tanzania ni vyema ikatoa pole kwa Serikali ya Tanzania baada ya kutokea maafa ya watu wapatao 40 moja ikiwa imesababishwa na mvua kubwa na jingine ikiwa ni mkanyagano wa watu wakitoka kwenye ibada(stampade).
Zitto tusaidie kuandaa barua ya kuwaomba waoneshe utu.
Ndio maana tulitaka kukopa sio kupewa msaada.
Kumbuka hata Marekani anakopa
Ushahidi ni kuwa, zito ameandika barua kuzuia fedha za MABEBERU, lakini wewe na Lumumba(ccm) kwa ujumla wake mnapinga vikali mkidai anasaliti nchi.Hebu onesha na ushahidi basi
Vimejengwa kwa Sh ngapi?
Kwa kuwa USA inajali sana mambo yanayoendelea Tanzania ni vyema ikatoa pole kwa Serikali ya Tanzania baada ya kutokea maafa ya watu wapatao 40 moja ikiwa imesababishwa na mvua kubwa na jingine ikiwa ni mkanyagano wa watu wakitoka kwenye ibada(stampade).
Zitto tusaidie kuandaa barua ya kuwaomba waoneshe utu.
Usichanganye issues...kuna mkopo na kuna uhisani.Ushahidi ni kuwa, zito ameandika barua kuzuia fedha za MABEBERU, lakini wewe na Lumumba(ccm) kwa ujumla wake mnapinga vikali mkidai anasaliti nchi.
Badala kung’ang’ania vikao vya Chama kujadili mambo ya msingi wakati taifa limo in dilema wewe unaleta mada za Marekani kutoa pole.Kwa kuwa USA inajali sana mambo yanayoendelea Tanzania ni vyema ikatoa pole kwa Serikali ya Tanzania baada ya kutokea maafa ya watu wapatao 40 moja ikiwa imesababishwa na mvua kubwa na jingine ikiwa ni mkanyagano wa watu wakitoka kwenye ibada(stampade).
Zitto tusaidie kuandaa barua ya kuwaomba waoneshe utu.
Chama hakiwezi kujadili barua zilizoandaliwa na wanaopigia debe ushoga.Badala kung’ang’ania vikao vya Chama kujadili mambo ya msingi wakati taifa limo in dilema wewe unaleta mada za Marekani kutoa pole.
Kweli CCM tumeishiwa vijana!
Ok! sasa kati ya Mkopo au Hisani, WEWE na CCM yako mnalilia au mnahitaji kitu gani hapo?Usichanganye issues...kuna mkopo na kuna uhisani.
Those are two different things.
Misiba kwa sisiem haina umhimu wowote kwa TaifaChama hakiwezi kujadili barua zilizoandaliwa na wanaopigia debe ushoga.
Msiba sio muhimu kwa taifa?
Kwa iyo uchumi wa nchi kuyumba kutokana na sera mbovu za mtu mmoja na kundi lake sio jambo la muhimu kujadiliwa na chama???Chama hakiwezi kujadili barua zilizoandaliwa na wanaopigia debe ushoga.
Msiba sio muhimu kwa taifa?
ndipo akili zako za kufikiria zimekwamia hapo?Kwa kuwa USA inajali sana mambo yanayoendelea Tanzania ni vyema ikatoa pole kwa Serikali ya Tanzania baada ya kutokea maafa ya watu wapatao 40 moja ikiwa imesababishwa na mvua kubwa na jingine ikiwa ni mkanyagano wa watu wakitoka kwenye ibada(stampade).
Zitto tusaidie kuandaa barua ya kuwaomba waoneshe utu.