Nasubiri salaam za pole kutoka Ubalozi wa Marekani!

Nasubiri salaam za pole kutoka Ubalozi wa Marekani!

Kwa kuwa USA inajali sana mambo yanayoendelea Tanzania ni vyema ikatoa pole kwa Serikali ya Tanzania baada ya kutokea maafa ya watu wapatao 40 moja ikiwa imesababishwa na mvua kubwa na jingine ikiwa ni mkanyagano wa watu wakitoka kwenye ibada(stampade).

Zitto tusaidie kuandaa barua ya kuwaomba waoneshe utu.
Hapo Lumumba mtarimbo wa USA umewaganda mnasikia utamu na uchungu at the same time.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa iyo uchumi wa nchi kuyumba kutokana na sera mbovu za mtu mmoja na kundi lake sio jambo la muhimu kujadiliwa na chama???

Kwa iyo watanzania kuanza kuwekewa vikwazo kwenye Mataifa ya nje sio jambo la kujadiliwa na chama???

Kwa iyo nchi kukosa mikopo na misaada tuliyokuwa tunapata siku zote kwa sababu ya mtu mmoja na kundi lake na kiburi chao sio jambo la kujadiliwa na chama???


Kweli CCM tumepotea!!!!
kabisa mmepoteza DIRA
 
Kwa kuwa USA inajali sana mambo yanayoendelea Tanzania ni vyema ikatoa pole kwa Serikali ya Tanzania baada ya kutokea maafa ya watu wapatao 40 moja ikiwa imesababishwa na mvua kubwa na jingine ikiwa ni mkanyagano wa watu wakitoka kwenye ibada(stampade).

Zitto tusaidie kuandaa barua ya kuwaomba waoneshe utu.

Pole kwa uzembe wenu wenyewe!??
 
Naamini utakuwa umenielewa sana....ha ha ha
Yes naelewa vzr sana.
tapatalk_1577354951190.jpeg


dodge
 
Kwa iyo uchumi wa nchi kuyumba kutokana na sera mbovu za mtu mmoja na kundi lake sio jambo la muhimu kujadiliwa na chama???

Kwa iyo watanzania kuanza kuwekewa vikwazo kwenye Mataifa ya nje sio jambo la kujadiliwa na chama???

Kwa iyo nchi kukosa mikopo na misaada tuliyokuwa tunapata siku zote kwa sababu ya mtu mmoja na kundi lake na kiburi chao sio jambo la kujadiliwa na chama???


Kweli CCM tumepotea!!!!
Uchumi wa nchi unayumba wakati unakua kwa zaidi ya asilimia 6.9%

kwa taarifa yako mwaka 2015 tulinyimwa fedha za MCC lakini umeme umesambaa vijijini.
 
Kwa kuwa USA inajali sana mambo yanayoendelea Tanzania ni vyema ikatoa pole kwa Serikali ya Tanzania baada ya kutokea maafa ya watu wapatao 40 moja ikiwa imesababishwa na mvua kubwa na jingine ikiwa ni mkanyagano wa watu wakitoka kwenye ibada(stampade).

Zitto tusaidie kuandaa barua ya kuwaomba waoneshe utu.

MY TAKE:
Anayewajali wananchi ni Serikali ya CCM na hakuna mgeni au kibaraka atakayewajali wananchi pindi tutakapopata majanga.
Jinga kubwa kama lako jina

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uchumi wa nchi unayumba wakati unakua kwa zaidi ya asilimia 6.9%

kwa taarifa yako mwaka 2015 tulinyimwa fedha za MCC lakini umeme umesambaa vijijini.
Asilimia 6.9 za Taasisi ya Takwimu ya Taifa????


Hongereni sana.


Sasa mwaka huu kuna kesi karibu 10 mahakamani za mabilioni, na kupunguzwa misaada ya Sweden, kuwekewa travel ban Marekani, kunyimwa mkopo wa World Bank na mengineyo mengi yanakuja.

Ulitakiwa uanze kujiuliza kwa nini tumewapa nchi watu wasio na exposure na hekima na kufikiria tumweke nani mwaka huu 2020 kuliokoa taifa sio utumbo wako unaouleta hapa.
 
Kwa kuwa USA inajali sana mambo yanayoendelea Tanzania ni vyema ikatoa pole kwa Serikali ya Tanzania baada ya kutokea maafa ya watu wapatao 40 moja ikiwa imesababishwa na mvua kubwa na jingine ikiwa ni mkanyagano wa watu wakitoka kwenye ibada(stampade).

Zitto tusaidie kuandaa barua ya kuwaomba waoneshe utu.

MY TAKE:
Anayewajali wananchi ni Serikali ya CCM na hakuna mgeni au kibaraka atakayewajali wananchi pindi tutakapopata majanga.
Jingalao
IMG-20200202-WA0023.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo unataka kuwapangia?
Kwa kuwa USA inajali sana mambo yanayoendelea Tanzania ni vyema ikatoa pole kwa Serikali ya Tanzania baada ya kutokea maafa ya watu wapatao 40 moja ikiwa imesababishwa na mvua kubwa na jingine ikiwa ni mkanyagano wa watu wakitoka kwenye ibada(stampade).

Zitto tusaidie kuandaa barua ya kuwaomba waoneshe utu.

MY TAKE:
Anayewajali wananchi ni Serikali ya CCM na hakuna mgeni au kibaraka atakayewajali wananchi pindi tutakapopata majanga.

Jr[emoji769]
 
Ndio maana tulitaka kukopa sio kupewa msaada.
Kumbuka hata Marekani anakopa
Ukienda kukopa ukiambiwa NO unaondoka zako. Lakini hii ya kulalama kula mahali huku mkisema watu wauwawe kwa vile eti ndio wamefanya msikopeshwe ni MPYA!
 
Kwa kuwa USA inajali sana mambo yanayoendelea Tanzania ni vyema ikatoa pole kwa Serikali ya Tanzania baada ya kutokea maafa ya watu wapatao 40 moja ikiwa imesababishwa na mvua kubwa na jingine ikiwa ni mkanyagano wa watu wakitoka kwenye ibada(stampade).

Zitto tusaidie kuandaa barua ya kuwaomba waoneshe utu.

MY TAKE:
Anayewajali wananchi ni Serikali ya CCM na hakuna mgeni au kibaraka atakayewajali wananchi pindi tutakapopata majanga.
Mmenunua mabombadieee na midrimulaina mkasahau chopper za kuokoa watu,Lindi watu 500 mpaka sasa hawajaokolewa kutokana na mafuriko.
 
Kwa kuwa USA inajali sana mambo yanayoendelea Tanzania ni vyema ikatoa pole kwa Serikali ya Tanzania baada ya kutokea maafa ya watu wapatao 40 moja ikiwa imesababishwa na mvua kubwa na jingine ikiwa ni mkanyagano wa watu wakitoka kwenye ibada(stampade).

Zitto tusaidie kuandaa barua ya kuwaomba waoneshe utu.

MY TAKE:
Anayewajali wananchi ni Serikali ya CCM na hakuna mgeni au kibaraka atakayewajali wananchi pindi tutakapopata majanga.
Naogopa,lakini unaumri gani Dada/kaka maana wee huoni ubaya was CCM kamwe
 
Back
Top Bottom