Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Hapo Lumumba mtarimbo wa USA umewaganda mnasikia utamu na uchungu at the same time.Kwa kuwa USA inajali sana mambo yanayoendelea Tanzania ni vyema ikatoa pole kwa Serikali ya Tanzania baada ya kutokea maafa ya watu wapatao 40 moja ikiwa imesababishwa na mvua kubwa na jingine ikiwa ni mkanyagano wa watu wakitoka kwenye ibada(stampade).
Zitto tusaidie kuandaa barua ya kuwaomba waoneshe utu.
kabisa mmepoteza DIRAKwa iyo uchumi wa nchi kuyumba kutokana na sera mbovu za mtu mmoja na kundi lake sio jambo la muhimu kujadiliwa na chama???
Kwa iyo watanzania kuanza kuwekewa vikwazo kwenye Mataifa ya nje sio jambo la kujadiliwa na chama???
Kwa iyo nchi kukosa mikopo na misaada tuliyokuwa tunapata siku zote kwa sababu ya mtu mmoja na kundi lake na kiburi chao sio jambo la kujadiliwa na chama???
Kweli CCM tumepotea!!!!
Kwa kuwa USA inajali sana mambo yanayoendelea Tanzania ni vyema ikatoa pole kwa Serikali ya Tanzania baada ya kutokea maafa ya watu wapatao 40 moja ikiwa imesababishwa na mvua kubwa na jingine ikiwa ni mkanyagano wa watu wakitoka kwenye ibada(stampade).
Zitto tusaidie kuandaa barua ya kuwaomba waoneshe utu.
Yes naelewa vzr sana.Naamini utakuwa umenielewa sana....ha ha ha
Uchumi wa nchi unayumba wakati unakua kwa zaidi ya asilimia 6.9%Kwa iyo uchumi wa nchi kuyumba kutokana na sera mbovu za mtu mmoja na kundi lake sio jambo la muhimu kujadiliwa na chama???
Kwa iyo watanzania kuanza kuwekewa vikwazo kwenye Mataifa ya nje sio jambo la kujadiliwa na chama???
Kwa iyo nchi kukosa mikopo na misaada tuliyokuwa tunapata siku zote kwa sababu ya mtu mmoja na kundi lake na kiburi chao sio jambo la kujadiliwa na chama???
Kweli CCM tumepotea!!!!
Jinga kubwa kama lako jinaKwa kuwa USA inajali sana mambo yanayoendelea Tanzania ni vyema ikatoa pole kwa Serikali ya Tanzania baada ya kutokea maafa ya watu wapatao 40 moja ikiwa imesababishwa na mvua kubwa na jingine ikiwa ni mkanyagano wa watu wakitoka kwenye ibada(stampade).
Zitto tusaidie kuandaa barua ya kuwaomba waoneshe utu.
MY TAKE:
Anayewajali wananchi ni Serikali ya CCM na hakuna mgeni au kibaraka atakayewajali wananchi pindi tutakapopata majanga.
Naona mmeamua kwenda kujitangazia bei huko ughaibuni.Hapo Lumumba mtarimbo wa USA umewaganda mnasikia utamu na uchungu at the same time.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asilimia 6.9 za Taasisi ya Takwimu ya Taifa????Uchumi wa nchi unayumba wakati unakua kwa zaidi ya asilimia 6.9%
kwa taarifa yako mwaka 2015 tulinyimwa fedha za MCC lakini umeme umesambaa vijijini.
JingalaoKwa kuwa USA inajali sana mambo yanayoendelea Tanzania ni vyema ikatoa pole kwa Serikali ya Tanzania baada ya kutokea maafa ya watu wapatao 40 moja ikiwa imesababishwa na mvua kubwa na jingine ikiwa ni mkanyagano wa watu wakitoka kwenye ibada(stampade).
Zitto tusaidie kuandaa barua ya kuwaomba waoneshe utu.
MY TAKE:
Anayewajali wananchi ni Serikali ya CCM na hakuna mgeni au kibaraka atakayewajali wananchi pindi tutakapopata majanga.
Kwa kuwa USA inajali sana mambo yanayoendelea Tanzania ni vyema ikatoa pole kwa Serikali ya Tanzania baada ya kutokea maafa ya watu wapatao 40 moja ikiwa imesababishwa na mvua kubwa na jingine ikiwa ni mkanyagano wa watu wakitoka kwenye ibada(stampade).
Zitto tusaidie kuandaa barua ya kuwaomba waoneshe utu.
MY TAKE:
Anayewajali wananchi ni Serikali ya CCM na hakuna mgeni au kibaraka atakayewajali wananchi pindi tutakapopata majanga.
Ukienda kukopa ukiambiwa NO unaondoka zako. Lakini hii ya kulalama kula mahali huku mkisema watu wauwawe kwa vile eti ndio wamefanya msikopeshwe ni MPYA!Ndio maana tulitaka kukopa sio kupewa msaada.
Kumbuka hata Marekani anakopa
Mmenunua mabombadieee na midrimulaina mkasahau chopper za kuokoa watu,Lindi watu 500 mpaka sasa hawajaokolewa kutokana na mafuriko.Kwa kuwa USA inajali sana mambo yanayoendelea Tanzania ni vyema ikatoa pole kwa Serikali ya Tanzania baada ya kutokea maafa ya watu wapatao 40 moja ikiwa imesababishwa na mvua kubwa na jingine ikiwa ni mkanyagano wa watu wakitoka kwenye ibada(stampade).
Zitto tusaidie kuandaa barua ya kuwaomba waoneshe utu.
MY TAKE:
Anayewajali wananchi ni Serikali ya CCM na hakuna mgeni au kibaraka atakayewajali wananchi pindi tutakapopata majanga.
Hizo taarifa umezitoa kwa pompi nini?Wahanga wa mafuriko kule Kilwa wanakufa kwa njaa. Serikali imeshindwa kuwasaidia hata chakula. Wamarekani wanaanzaje kutoa pole!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naogopa,lakini unaumri gani Dada/kaka maana wee huoni ubaya was CCM kamweKwa kuwa USA inajali sana mambo yanayoendelea Tanzania ni vyema ikatoa pole kwa Serikali ya Tanzania baada ya kutokea maafa ya watu wapatao 40 moja ikiwa imesababishwa na mvua kubwa na jingine ikiwa ni mkanyagano wa watu wakitoka kwenye ibada(stampade).
Zitto tusaidie kuandaa barua ya kuwaomba waoneshe utu.
MY TAKE:
Anayewajali wananchi ni Serikali ya CCM na hakuna mgeni au kibaraka atakayewajali wananchi pindi tutakapopata majanga.