Nasubiria Ole Sabaya aende Kuachiwa Huru, ili niwalaumu Watanzania wa Mitandaoni kwa kuwa Wanafiki na Waongo

Kuachiwa hakubatilishi uhalifu wake, mhalifu ni mhalifu tu.
Wapo hata walioua na wakashinda kesi wakatoka ilhali wameua kweli
 
Watu wamevunjwa miguu,wametobolewa makalio wengine wamefirw#,wengine wamefilisika wengine wamekufa halafu wewe unakuja humu kutapika ugoro..!
Namhurumia mama yako yaani amebeba mimba iliyozaa mapooza pole sana..!
 
Hata kama ataachiwa jela kakaa alikuwa anapeleka wenzake na bangili kavaa na kazi imeisha atakuwa kajifunza kitu hata akirudi uraiani atakuwa kajifunza kitu
 
Watu wamevunjwa miguu,wametobolewa makalio wengine wamefirw#,wengine wamefilisika wengine wamekufa halafu wewe unakuja humu kutapika ugoro..!
Namhurumia mama yako yaani amebeba mimba iliyozaa mapooza pole sana..!
Kama mama yako alikuzaa uje umhudumie harafu ulivyo amfibia, unakwenda kuanza harakati utumbo, unadakwa, unagongwa sana, sometimes unakufa kabisa.

Hii ni kutoheshimu hisia za mzazi wako, utalaanika milele.
Kama huyu mbuta mwenzako.

 
Hata kama ataachiwa jela kakaa alikuwa anapeleka wenzake na bangili kavaa na kazi imeisha atakuwa kajifunza kitu hata akirudi uraiani atakuwa kajifunza kitu
Kama mdude alikaa mwaka mzima na katoka bado kichaa, ijekuwa sabaya wa mwezi mmoja!!!
 
Afisa Kipenyo yule jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…