Nasumbuliwa na bawasiri

Nasumbuliwa na bawasiri

IMG_4003.jpg

Msio jua ni kitu ya aina iyo
 
Basi huijui vizuri bawasiri. Bawasiri iko hivi kuna muda vinaota vinyama pembeni ya haja kubwa,vidogo vidogo kwa ukubwa wa punje ya harage.
Vinaweza vikawa viwili au vitatu. Na huwa inakuja na kupotea yenyewe muda mwingine. Na inaambatana na kuuma sana muda mwingine wakati wa haja kubwa. Kuna muda mwengine wakati wa kujisaidia inatoka na damu.

Ugonjwa huu unawaandamana sana wanaofanya mazoezi mazito naagumu,kama kunyanyua vitu vizito au hata push up tu.
Ni ugonjwa unawasumbua wengi hasa wanaofanya mazoezi mazito. Umeenea sana,na huwezi kupata tiba hospital. Zaidi zaidi hospital watakufanyia operation ndogo lakini kwa muda tena ugonjwa utakurudia. Nasikia wahadzabe tu ndio wanaweza kuutibu huu ugonjwa. (Wamasai siku hizi wameishiwa mbinu,wamebaki wapiga deal tu).

Yoyote mwenye kupata dawa ya kudumu tujulishane.
Mazoezi tena??? Mazoezi yana faida nyingi unaanza kusema huo ugonjwa unawaandama wafanya mazoezi
 
Fanya hivi,,
Chukua dozi ya amoxilyn "kama nimekosea spelling mtanisamehe vareur ishashika kichwa" hii ni kwa ajili ya kukausha,, pia chukua dozi ya dicloffenac kwa ajili ya maumivu,, kisha chukua detto ya maji hii detto kwa siku mara 2 asubuhi na jioni changanya na maji kiasi kwenye dish kaa humo kwa ajili ya kuondoa ule muwasho,,
thank me latter,,
 
Kunywa maji mengi, mbogamboga jamii ya maharage, njegere, kunde nk,matunda yenye fibres kama machungwa bila kusahau papai na hakikisha wali uwe unaiva vizuri
 
Ni kwenye anus sehemu ya mzunguko na vinasogea mpaka kwenye shina la uboo
Hii ni warts bila shaka ungejipiga picha au google kitu kinaitwa genital warts ukiona vinafanania njoo nikuelekeze hapa au nitumie picha PM
 
Back
Top Bottom