Mazoezi tena??? Mazoezi yana faida nyingi unaanza kusema huo ugonjwa unawaandama wafanya mazoeziBasi huijui vizuri bawasiri. Bawasiri iko hivi kuna muda vinaota vinyama pembeni ya haja kubwa,vidogo vidogo kwa ukubwa wa punje ya harage.
Vinaweza vikawa viwili au vitatu. Na huwa inakuja na kupotea yenyewe muda mwingine. Na inaambatana na kuuma sana muda mwingine wakati wa haja kubwa. Kuna muda mwengine wakati wa kujisaidia inatoka na damu.
Ugonjwa huu unawaandamana sana wanaofanya mazoezi mazito naagumu,kama kunyanyua vitu vizito au hata push up tu.
Ni ugonjwa unawasumbua wengi hasa wanaofanya mazoezi mazito. Umeenea sana,na huwezi kupata tiba hospital. Zaidi zaidi hospital watakufanyia operation ndogo lakini kwa muda tena ugonjwa utakurudia. Nasikia wahadzabe tu ndio wanaweza kuutibu huu ugonjwa. (Wamasai siku hizi wameishiwa mbinu,wamebaki wapiga deal tu).
Yoyote mwenye kupata dawa ya kudumu tujulishane.
Mhhh!! huenda ikawa wartsNi kwenye anus sehemu ya mzunguko na vinasogea mpaka kwenye shina la uboo
View attachment 2750364
Msio jua ni kitu ya aina i
Asee duuh hatariView attachment 2750364
Msio jua ni kitu ya aina iyo
Hii sasa unatumiaje na inapatikana kwenye pharmacyHiyo ni bawasiri ya nje, tafuta Anusol suppository.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Hizo utashindilia mkunduni aisee, huwa Zina mchanganyiko wa ingredients nyingi na kila moja ina kazi yake. Pharmacy utazipataHii sasa unatumiaje na inapatikana kwenye pharmacy
Kwa hiyo akili yako kila chenye faida hakina hasara?Mazoezi tena??? Mazoezi yana faida nyingi unaanza kusema huo ugonjwa unawaandama wafanya mazoezi
Hii ni warts bila shaka ungejipiga picha au google kitu kinaitwa genital warts ukiona vinafanania njoo nikuelekeze hapa au nitumie picha PMNi kwenye anus sehemu ya mzunguko na vinasogea mpaka kwenye shina la uboo