Nasumbuliwa na hii ndoto

Nasumbuliwa na hii ndoto

baharia 1

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2019
Posts
1,580
Reaction score
1,773
Habari wakuu

Mim huwa naota ndoto nyingi ila hii yajuzi nimeona niitilie manani kidogo maana mpaka leo sijapata majibu

Mimi naishi hapa hom na mam lakn kwasas anaumwa umwa kdg,

mzee alishafariki na kuna kaka angu alifariki mda sana kabla hata mimi sijaanza shule nilikuwa mdogo ila nakumbuka msiba wake na kwasasa me nina miaka 25.

Ndoto [emoji116]

Leo nimeota ndoto kama vile tupo kwamganga au sheh kwasababu alikuwa amevaa vizuri tuh na tupo nyumban kwake mimi na mama, eety tunamtafuta mwanae huyo kaka yangu ambaye alifariki nikiwa mdogo kabla sijaanza hata kusoma kwmba amepotea miaka ming sana, sasa huyo mtu sijui akafanyaje akasema pigeni magot anakuja sasa hivi anafungua mlango atakuja kwa presha sana msiogope, kweli mlango ukafunguliwa akaingia kaka angu huyo akamsalmia yule yan sauti ile ile mwili ule ule kwasabu yeye mweupe kama mimi yan niyule yule kila kitu na msafi kabisa, mama alivyoskia sauti yake akaanza kulia kwa uchungu kweli kweli namimi nilianza kulia yan nililia kwa uchungu kuliko hata mama yan ndani yamoyo nalia kwa uchungu, akaja akanisalmia vipi mdogo mbona umenenepa hivo za siku nyingi yan umenena kweli hapo mimi bado nalia kwa uchungu sana, Sasa baada yamuda nikiwa pemben nimekaa yeye yupo na mama mama akawa amempa kama kitu cha kutafuna kama pipi sijui nini sasa jinsi alivyokuwa anakula ni kama mtu ambaye anamatitzo ya akili yani simuelew unjua watu wenye matatizo yakili anavyokula kama anatoa meno nje huku anakula mara anageuka geuka.

Naomba mnisaidie hapa hii ndoto imenipa mashaka kidogo maana mpk sasa sijapata majibu
 
Habari wakuu

Mim huwa naota ndoto nyingi ila hii yajuzi nimeona niitilie manani kidogo maana mpaka leo sijapata majibu

Mimi naishi hapa hom na mam lakn kwasas anaumwa umwa kdg,

mzee alishafariki na kuna kaka angu alifariki mda sana kabla hata mimi sijaanza shule nilikuwa mdogo ila nakumbuka msiba wake na kwasasa me nina miaka 25.

Ndoto [emoji116]

Leo nimeota ndoto kama vile tupo kwamganga au sheh kwasababu alikuwa amevaa vizuri tuh na tupo nyumban kwake mimi na mama, eety tunamtafuta mwanae huyo kaka yangu ambaye alifariki nikiwa mdogo kabla sijaanza hata kusoma kwmba amepotea miaka ming sana, sasa huyo mtu sijui akafanyaje akasema pigeni magot anakuja sasa hivi anafungua mlango atakuja kwa presha sana msiogope, kweli mlango ukafunguliwa akaingia kaka angu huyo akamsalmia yule yan sauti ile ile mwili ule ule kwasabu yeye mweupe kama mimi yan niyule yule kila kitu na msafi kabisa, mama alivyoskia sauti yake akaanza kulia kwa uchungu kweli kweli namimi nilianza kulia yan nililia kwa uchungu kuliko hata mama yan ndani yamoyo nalia kwa uchungu, akaja akanisalmia vipi mdogo mbona umenenepa hivo za siku nyingi yan umenena kweli hapo mimi bado nalia kwa uchungu sana, Sasa baada yamuda nikiwa pemben nimekaa yeye yupo na mama mama akawa amempa kama kitu cha kutafuna kama pipi sijui nini sasa jinsi alivyokuwa anakula ni kama mtu ambaye anamatitzo ya akili yani simuelew unjua watu wenye matatizo yakili anavyokula kama anatoa meno nje huku anakula mara anageuka geuka.

Naomba mnisaidie hapa hii ndoto imenipa mashaka kidogo maana mpk sasa sijapata majibu
Ngoja waje wajuao tafsiri ya ndoto
 
nje yq mada jana kabla ya kulala ulikula mkuu
maana hata mm nusipokula naota ndoto moja nafukuzwa na wakulungwa hata hawaeleweki mijitu mirefuuuuu mirefuuu
 
nje yq mada jana kabla ya kulala ulikula mkuu
maana hata mm nusipokula naota ndoto moja nafukuzwa na wakulungwa hata hawaeleweki mijitu mirefuuuuu mirefuuu
Halafu acha masihara kwenye post za watu sio kila mtu anayepost humu ananjaa kama wew
 
sio ndoto nzuri kuota unakutana na kiongea na marehemu/roho za wafu.
Maana ya ndoto huyo ndugu yako amechukuliwa msukule amefichwa na mchawi ama mshirikina ,ina maana hakufa ila alichukuliwa msukule na msukule yoyote lazima aondolewe ufahamu awe kama tahira hiyo ni kawaida kwa msukule.Pia msukule lazima ageuzwe aunganishwe roho yake na majini/mapepo wachafu na wabaya apandikizwe roho za majini mwilini mwake nafsi rohilo yake iunganishwe ichanganywe na majini..

2.anayemlisha msukule ndio mmiliki wa msukule au mshirika wa miliki wa msukule./huyo sheikh au mganga wa kienyeji ndio anaweza akawa anamiliki huyo msukule.
3.Kama si hivyo maana nyingine inawezekana kuna jini roho chafu imekuja kwa sura ya kaka yako ikitaka sio kitu kizuri kutokewa na mapepo katika sura ya ndugu zako mizimu JAPO majini mapepo ya mizimu mara nyingi huja kama MABABU/BABA AU BIBI/MAMA (hivyo sio rahisi ikawa hivo)

MADHARA YA HIYO NDOTO
Katika ulimwengu wa kiroho kuna madhara roho za misukule mizimu majini kuanza kukufuatilia mana hata kama ni ndugu yako akishakuwa msukule akili na roho yake imechanganywa na majini ,roho inayotenda kazi ndani ya msukule ni roho za majini sio akili zake zinakuwa zimeshaharibiwa hana ufahamu hivyo hayo mapepo yaliyopo ndani yake yanaweza kuwadhuru familia ,ama ndugu wengine wakaendelea kuchukuliwa misukule huko mbeleni,au kupatwa na madhara mbali mbali mana huo ni ushirikina.

DAWA YA HAYO MAROHO MAPEPO YANAYOFUATILIA NI MOJA TU.
YESU PEKEE ,MWOMBE YESU ATAKUSAIDIA..tafuta kanisa la karibu la kilokole nenda uombewe na wewe mwombe YESU ,ombea na familia yako kwa kutumia juna la YESU.

View: https://youtu.be/C7jaoeVvsBM?si=v0fxRpvZQoD3hegy
 
Habari wakuu

Mim huwa naota ndoto nyingi ila hii yajuzi nimeona niitilie manani kidogo maana mpaka leo sijapata majibu

Mimi naishi hapa hom na mam lakn kwasas anaumwa umwa kdg,

mzee alishafariki na kuna kaka angu alifariki mda sana kabla hata mimi sijaanza shule nilikuwa mdogo ila nakumbuka msiba wake na kwasasa me nina miaka 25.

Ndoto [emoji116]

Leo nimeota ndoto kama vile tupo kwamganga au sheh kwasababu alikuwa amevaa vizuri tuh na tupo nyumban kwake mimi na mama, eety tunamtafuta mwanae huyo kaka yangu ambaye alifariki nikiwa mdogo kabla sijaanza hata kusoma kwmba amepotea miaka ming sana, sasa huyo mtu sijui akafanyaje akasema pigeni magot anakuja sasa hivi anafungua mlango atakuja kwa presha sana msiogope, kweli mlango ukafunguliwa akaingia kaka angu huyo akamsalmia yule yan sauti ile ile mwili ule ule kwasabu yeye mweupe kama mimi yan niyule yule kila kitu na msafi kabisa, mama alivyoskia sauti yake akaanza kulia kwa uchungu kweli kweli namimi nilianza kulia yan nililia kwa uchungu kuliko hata mama yan ndani yamoyo nalia kwa uchungu, akaja akanisalmia vipi mdogo mbona umenenepa hivo za siku nyingi yan umenena kweli hapo mimi bado nalia kwa uchungu sana, Sasa baada yamuda nikiwa pemben nimekaa yeye yupo na mama mama akawa amempa kama kitu cha kutafuna kama pipi sijui nini sasa jinsi alivyokuwa anakula ni kama mtu ambaye anamatitzo ya akili yani simuelew unjua watu wenye matatizo yakili anavyokula kama anatoa meno nje huku anakula mara anageuka geuka.

Naomba mnisaidie hapa hii ndoto imenipa mashaka kidogo maana mpk sasa sijapata majibu
Hii ni ndoto nzito yenye maana ya kina, hasa kwa kuwa inahusiana na ndugu aliyefariki. Tafsiri yake inaweza kugawanywa katika vipengele kadhaa:

1. Kuwa kwa Mganga au Shehe – Utafutaji wa Majibu

  • Kuwa kwa mganga au mtu wa kiroho kunaweza kumaanisha kuwa familia au yule aliyeota ndoto anatafuta majibu kuhusu mtu aliyepotea au aliyefariki.
  • Inaweza pia kuashiria hitaji la mwongozo wa kiroho au kutaka kuwasiliana na roho za waliotangulia.

2. Kaka Anayefariki Kurudi – Ishara ya Mawasiliano ya Kiroho

  • Kaka aliyefariki kurudi kwa sura yake ile ile, sauti ile ile, na mwili ule ule ni ishara ya uwepo wake katika ulimwengu wa kiroho.
  • Hii inaweza kumaanisha kuwa roho yake ipo karibu au kuna ujumbe anataka kuwasilisha kwa familia.

3. Kulia kwa Uchungu – Kuhifadhi Hisia Zilizofichwa

  • Kulia kwa uchungu kunaonyesha majonzi ambayo hayajaponywa kikamilifu.
  • Ndoto hii inaweza kuwa ishara kwamba bado kuna masikitiko makubwa juu ya kifo cha kaka huyo, labda kuna mambo hayajasemwa au kufanyika kabla ya kifo chake.

4. Tabia ya Kaka Baada ya Kurudi – Dalili ya Mabadiliko au Tofauti

  • Mwanzoni, anaonekana mzuri na msafi, lakini anapopewa kitu cha kutafuna, tabia yake inabadilika na anaanza kula kwa namna isiyoeleweka.
  • Hili linaweza kuashiria kwamba ujumbe wake ni wa tahadhari – huenda kuna kitu kisicho sawa kuhusu mazingira yake au sababu za kifo chake.
  • Inaweza pia kumaanisha kuwa si kila roho inaporudi ni kwa usafi ule ule – huenda kuna jambo linahitaji kufanyiwa uangalizi wa kiroho.

Tafsiri Kuu ya Ndoto Hii

  • Inaweza kuwa ni ishara ya kwamba roho ya kaka huyo bado haijapata utulivu kamili.
  • Inawezekana pia ni hisia za ndani ya familia kuhusu kifo chake – labda kuna maswali yasiyojibiwa au hisia ambazo bado zinahitaji uponyaji.
  • Kula kwa namna isiyoeleweka kunaweza kuwa ujumbe wa tahadhari – inawezekana kuna jambo ambalo linahitaji kuchunguzwa kwa kina.

Ushauri wa Kiroho

  • Ikiwa familia inaamini katika dua au sadaka kwa ajili ya waliotangulia, inaweza kuwa wakati mzuri wa kufanya hivyo kwa nia njema.
  • Ikiwa kuna huzuni au majonzi bado yapo, inafaa kuyashughulikia kwa njia ya uponyaji wa kiroho.
  • Muhimu zaidi ni kutokuwa na hofu, bali kuchukua hatua za kiroho ili kuhakikisha kila kitu kipo katika amani.
 
Habari wakuu

Mim huwa naota ndoto nyingi ila hii yajuzi nimeona niitilie manani kidogo maana mpaka leo sijapata majibu

Mimi naishi hapa hom na mam lakn kwasas anaumwa umwa kdg,

mzee alishafariki na kuna kaka angu alifariki mda sana kabla hata mimi sijaanza shule nilikuwa mdogo ila nakumbuka msiba wake na kwasasa me nina miaka 25.

Ndoto [emoji116]

Leo nimeota ndoto kama vile tupo kwamganga au sheh kwasababu alikuwa amevaa vizuri tuh na tupo nyumban kwake mimi na mama, eety tunamtafuta mwanae huyo kaka yangu ambaye alifariki nikiwa mdogo kabla sijaanza hata kusoma kwmba amepotea miaka ming sana, sasa huyo mtu sijui akafanyaje akasema pigeni magot anakuja sasa hivi anafungua mlango atakuja kwa presha sana msiogope, kweli mlango ukafunguliwa akaingia kaka angu huyo akamsalmia yule yan sauti ile ile mwili ule ule kwasabu yeye mweupe kama mimi yan niyule yule kila kitu na msafi kabisa, mama alivyoskia sauti yake akaanza kulia kwa uchungu kweli kweli namimi nilianza kulia yan nililia kwa uchungu kuliko hata mama yan ndani yamoyo nalia kwa uchungu, akaja akanisalmia vipi mdogo mbona umenenepa hivo za siku nyingi yan umenena kweli hapo mimi bado nalia kwa uchungu sana, Sasa baada yamuda nikiwa pemben nimekaa yeye yupo na mama mama akawa amempa kama kitu cha kutafuna kama pipi sijui nini sasa jinsi alivyokuwa anakula ni kama mtu ambaye anamatitzo ya akili yani simuelew unjua watu wenye matatizo yakili anavyokula kama anatoa meno nje huku anakula mara anageuka geuka.

Naomba mnisaidie hapa hii ndoto imenipa mashaka kidogo maana mpk sasa sijapata majibu

Okoka itakusaidia, ila nikisema okoka usiende kwa mitume na manabii, tafuta Kanisa simple; Kama upo Dar kwa Maghembe ni pazuri, Yule Mzee sijawahi kutana naye ila kanyoka haswa! Nenda kaa, ongea naye atakacho kushauri Najua kitakuwa na msaada kwako!
 
nje yq mada jana kabla ya kulala ulikula mkuu
maana hata mm nusipokula naota ndoto moja nafukuzwa na wakulungwa hata hawaeleweki mijitu mirefuuuuu mirefuuu
Ndio nilimla mama ako [emoji39]
 
Back
Top Bottom