Bitcoinbase
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 319
- 285
Mshana Jr kanususaMshana jr pitia huku utoe msaada kwa ndg yetu huyu....
Punguza uzito bro..Nisiwachoshe,,,
Nikwamba nasumbuliwa na MARADHI ya Kuuma miguu,,, ambayo yaliaza ghafula tu,na nikifikia yakwenda kutibiwa,, baada ya vipimo niliandikiwa Dawa ambazo ni mwezi sasa natumia bila mabadiliko
Hivyo naomba wataalamu wa tiba Za mitishamba Kama wapo
Hata Sina uzito ndugu,,, BMI yangu iko Poaw kabisaPunguza uzito bro..
Nakuja pmMiguu inaumaje?
Nakuja pm
Aaaagh boss si vizuri kuweka mambo yote Hapa ya MARADHI... Kama kunawataalam tunamalizana pm. Au nakoseaWacha uchoyo ww, PM ya nn? Hutaki wengine wanufaike??????
Akiona inafaa kuanika mawasiliano ya faragha atafanya hivyo. Acha ajiridhishe na mawasiliano hayo kwanza.Wacha uchoyo ww, PM ya nn? Hutaki wengine wanufaike??????
PoawAkiona inafaa kuanika mawasiliano ya faragha atafanya hivyo. Acha ajiridhishe na mawasiliano hayo kwanza.