Bitcoinbase
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 319
- 285
Nisiwachoshe,,,
Nikwamba nasumbuliwa na MARADHI ya Kuuma miguu,,, ambayo yaliaza ghafula tu,na nikifikia yakwenda kutibiwa,, baada ya vipimo niliandikiwa Dawa ambazo ni mwezi sasa natumia bila mabadiliko
Hivyo naomba wataalamu wa tiba Za mitishamba Kama wapo
Nikwamba nasumbuliwa na MARADHI ya Kuuma miguu,,, ambayo yaliaza ghafula tu,na nikifikia yakwenda kutibiwa,, baada ya vipimo niliandikiwa Dawa ambazo ni mwezi sasa natumia bila mabadiliko
Hivyo naomba wataalamu wa tiba Za mitishamba Kama wapo