Blessed Son
Member
- Apr 23, 2015
- 34
- 23
Wakuu napata maumivu katika hali zifuatazo:-
1.Wakati fulani nikimaliza kukojoa mwisho natokwa na manii halafu maumivu makali ya korodani yanafuatia.
2.Nikitamani kufanya ngono hata kama sijafanya natokwa pia na manii na hufuatia na maumivu makali ya korodani.
Maumivu hayo huendana na uvimbe katika mirija inayounganisha uume na korodani,na baada ya muda nakuwa katika hali ya kawaida, sasa tatizo linaweza kuwa ni nini?
1.Wakati fulani nikimaliza kukojoa mwisho natokwa na manii halafu maumivu makali ya korodani yanafuatia.
2.Nikitamani kufanya ngono hata kama sijafanya natokwa pia na manii na hufuatia na maumivu makali ya korodani.
Maumivu hayo huendana na uvimbe katika mirija inayounganisha uume na korodani,na baada ya muda nakuwa katika hali ya kawaida, sasa tatizo linaweza kuwa ni nini?